Naongea jambo hili kwa uchungu mkubwa sana.Takribani siku ya tatu sasa tangu majina ya walimu wapya yatangazwe,cha ajabu majina yetu ya sjut-dom(shahada) hayapo kwenye orodha kama 300 na ushee,hamuoni kwamba huu ni ubaguzi ingekuwa chuo kingine mf.udsm mngewaacha hivyo?au sisi tulikuwa tunasoma...
Napenda kutoa taarifa hii kwa TAMISEMI kwamba mpaka wakati hatujui kwanini majina yetu hayaonekani kwenye orodha, au kuna mengine bado hayajatolewa?wadau mwenye inf. naomba atujuze humu jf.
Hii ni kutokana na asilimia kubwa ya wahitimu wa sjut-dom(ualimu)majina yao kutokujitokeza kwenye orodha ya walimu wapya walioajiriwa 2013-2014.Tafadhali lijibuni hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.