Hatimaye wana SJUT-DOM ambao tulikosa ajira leo tr.03,tamisemi wametuajiri wote 318,na tunaripoti pamoja na wenzetu.Mungu awabariki wote mliotuombea pia awasamehe wale waliokuwa wanatoa maneno ya dhihaka kwetu.
Unachosema mcharge ni kweli kabisa.Me mwenyewe nilikuwa na wakati mgumu sana baada ya majina yetu kutokutolewa na tamisemi ile tr.15.Tuzidi tu kuwahimiza tamisemi,kitaani pagumu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.