Search results

  1. S

    Uhamishaji wa Wamaasai kutoka Ngorongoro, mabasi ya Ester yaongoza

    Hili suala liangalieni kwa umakini. Sijui! Hawami?
  2. S

    CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

    Taifa ni kubwa kuliko mtu binafsi. Siku za usoni ni bora tukafiria njinsi ya kutengeneza mifumo bora. Kinacho tu beba ni busara na uvumilivu wa wenye nchi wananchi na ndiyo maana mawimbi na dhoruba zikitupiga tuna simama. Katiba mpya ni muhimu kwangu, kwako, na mwingine!
  3. S

    Ushauri: Rais Samia naomba umfukuze kazi Mkurugenzi Mkuu wa TBS mara moja

    Kuongezea tu. Afukuzwe! Sababu genetic make ya hayo mahindi na virutubisho vywenyewe havijulijani. Kwa nini mahindi na mchele wakati tunajitosheleza! Afukuzwe tu!
  4. S

    Peter Msigwa umeletewa Kheri James, tafuta Jimbo lingine huo ni mkakati maalumu

    Hoja yako haina afya kwa mstakabali ya ukuaji wa demokrasia Tanzania. Tanzani ni kubwa kuliko Khery James na Msigwa. Kikubwa na jambo la kheri ni demokrasia iachwe ichukuwe mkondo wake!
  5. S

    Nataka kuanzisha harambee ya kumnunulia Rais Samia shamba Kaliua ili aachane na siasa 2025

    Mashamba ya kanda ya mashariki na wengi wanayo mashamba ila hawalimi bali wanayahodhi tu
  6. S

    Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

    DAB hamuwezi AL kwenye mdahalo ni kama Simba na Manchester United
  7. S

    CHADEMA njia Panda, Mikoa yote Tanzania inataka Maandamano ya Amani. Wadai Mikoa Minne pekee haitoshi

    Erythrocyte uko sahihi sasa hivi CCM ni cosmetics ile nature haipo tena. Tena kwa sasa mmmmmh.
  8. S

    CHADEMA hoja ya Kikwete ni ya ovyo; ana majukumu ya kimataifa

    Siyo CHADEMA ila suala kuwa na rais kila mara mmmmmhhhh. Zama zake zimekwisha na alichoshindwa kufanya kipindi kile basi imetosha. Ni vyema na ni baraka na insatahili kulewa wajukuu.
  9. S

    Pamoja na uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda. Mama bado hakubaliki kanda ya ziwa

    Ukishapata upinzani kwa kina mama njia yako ya kisiasa inakuwa sawa na kupanda mlima Everest! Twende tukacheze singeli ningoma nzuri na pendwa maeneo ya pwani!
  10. S

    Nabii Sanga: Mgawanyiko mkubwa utaikumba CCM mwaka 2024 na 2025, tuiombee

    Iko shida wenyewe kwa wenyewe waendelee tu sisi tunatizama
  11. S

    Vijana wa Tanzania tunajifunza nini kuteuliwa kwa Waziri Mkuu wa Ufaransa mwenye miaka 34?

    Vijana wa Ufaransa wengi siyo chawa. Kazi kubwa ya chawa ni kunyonya damu na siyo vinginevyo!
  12. S

    Hivi CHADEMA wamemuelewa kweli Rais wetu? Kwamba hicho wanachozunguka kukihubiri ni ukiukaji wa malengo ya kuruhusu mikutano ya hadhara

    Ulitakiwa kudanganya kipindi ambapo mambo ya dunia hayakuwa wazi. Tunafuatilia siasa kote ulimwenguni vyama vya siasa vinasemana. Wanasiasa wanasemwa na madhaifu na matendo yao maovu yasemwa waziwazi tena hadharani. Ndiyo siasa zenyewe uwanja wenye mtifuano mzito. Unapiga mtu na kitu kizito...
  13. S

    Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

    Haijalishi chama kinakuwa
  14. S

    Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

    !!!!!@??? safari ndefu
  15. S

    Kwanini Rais Samia hataki kutoa kauli kuhusu suala la Bandari?

    Ndoto za alinacha hizo. Mzungu hajawahi mshinda mwafrika kwenye mapambano ya kudai ukombozi. Mwaraba naye atashindwa mapema asubuhi kabla jua halijachomoza! Tusubiri!
  16. S

    Kwanini Rais Samia hataki kutoa kauli kuhusu suala la Bandari?

    Uchumi ndiyo huo mfumuko wa bei juu. Uwezo wa shilingi dhidi ya dola uko wazi! Tuendelee takwimu hazidanganyi. Uwezo wa wananchi kununua bidhaa nao haudanganyi. Maisha magumu!
  17. S

    Wana CCM tujibu hoja za kinachoendelea Ngorongoro. Tumeshindwa kujibu kama hoja za TEC?

    MRA Loading........ Hakuna atakayekubali kwenda kwenye nchi ya utumwa ya Misri!
Back
Top Bottom