Hata CRDB waliojenga jengo kubwa ambalo lingepaswa kujengwa km mwz au Geita au KATORO kwenye mzunguko Mkubwa walii gizwa king wakajenga Chato.Cha kushangaza Wateja ni wachache ajabu kwa wale waliosoma Service rate au Queeing ni kama ratio ya 2hrs:1customer! Ukienda pale mpaka unawahurumia...
Mimi natokea Maeneo ya Dutwa,Bariadi.Hao jamaa Wa kampuni huska(exploration crew) walikaa Dutwa zaidi ya 7 years na waliondoka Mwaka 2015 mwezi wa July au August walikuwa na heavy drilling machines na crew kubwa ya watumishi na mwezi Nov, 2016 RC Wa Simiyu alikwenda Chato kuonana na naibu waziri...
Wewe unajidanganya toka mjini hasa Dar ingia vijijini ambako chakula ndo hutokea kisha rudi kwenye GPS yako na Fanya utafiti wako huo fake.Majani kuota ni rahisi sana kuliko kustawisha mazao kwani drought resistance ya majani ni kubwa kuliko cereals.
Kuwa na akili hata kidogo ndg.
Mrisho Gambo anatengeneza mazingira ya kugombea ubunge Arusha mjini na kigezo ni kwamba ananaifahamu Arusha vyema kwa kusomea Njiro chuo cha uhasibu Arusha kwa kozi zote yaani Adv.dipl in IT na Masters degree in computer science pia kufanya kazi za vibarua manispaa Arusha na Nelson Mandela.So...
Kalemani ni ndg wa JPM pia kupewa unaibu waziri ni kumuwekea Leprofeseri watchdog kwani JPM anaamini Muhongo ni mtendaji mzuri japo ana mkono mrefu na mdomo mchafu km ilivyo sura yake hasa akikutana na combinations km ya mkwere.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.