katika hili hakuna mkweli bungeni zaidi ni sawa na muomba kazi anayefanya kazi kwa maslahi yake mwenyewe.mwalmu analipwa lakitatu kwa mwezi hakuna anayemsikiliza bado anaishi na kile anacho pata.mbunge unadai laki tatu kwa siku ndogo inauma mkulima hata elfu kumi kwa siku nyingi hamuonei huruma...
vtu walivyo angalia kujibu maswali vzuri na kujiamini kwako vyeti vyako umri barua ya kuomba kujiunga kama uliandika ovyo bila muhuliwa mtendaji wala mwenyekiti hufanyi interview. kiukweli kwa asilimia kubwa wametenda haki tofauti na wilivyo kuwa wanasema mitaani.morogoro wameambiwa walipoti...
unachotakiwa ni kuandika barua inayoenda kwa mkuu wa wilaya yenye anuani yako ya mkuu wa wilaya k.k kupitia kwa mamlaka ya kijiji igongwe muhuli wa mwenyekiti uambatanishe na vivuli vya vyeti vyako cheti cha kuzaliwa cheti cha matokeo ya mwisho na cheti cha usibitisho wa kumalizia elimu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.