Hayo hayotoki Kwa huyo mama wa sokoni ni kauli yako ulitaka Tu kuiwakilisha Kwa njia hiyo,aliewapa kazi sio wazanzibar ni watanzania kwamujibu WA katiba,wakati Magufuli anateua WA kwake na chato kupeleka hadi uwanja WA ndege kapeleka hamkusema kitu ovyo kwabisa
Hakuna shida ni Jamhuri ya Muungano yote hiyo,na ndio maana wengine wakaenda kujenga uwanja wa ndege wa Chato ambao sasa hivi ni malishio ya wanyama [emoji1787]
Hospitali KUU ya MNAZI MMOJA mjini Zanizbar imewashangaza Sana wananchi wake Kwa kuwa hospitali hiyo Kwa muda mrefu sasa hakuna dawa zinazopatikana hapo zaidi ya Panadol tu, hospitali hiyo ya Rufaa iliopo Mnazi Mmoja Unguja inalalamikiwa na wananchi wake kuandikiwa Hadi gloves wakanunue nje na...
Tatizo amekushikieni akili Sana akaona hatutajua kuwa yeye tayari ameshachanjwa muda tu na sio mara moja,Gwajiboy kama anasafiri kwenda nje mtambue kuwa amechanjwa hawezi kabisa kuingia nchi alizopendelea Sana kwenda bila kuchanjwa
Hamna shukurani ndivyo wabongo mlivyo,Magu amekaa madarakani hakuwahi kupandisha madaraja wala ajira mpya,Leo hii mnakuwa madomo Kaya kumsema mama ambae hata miezi sita haikufika kapandisha madaraja, ameajiri walimu,watumishi wa Afya na Askari polisi waliokaa miaka sita bila vyeo Leo hii...
Huyu jamaa anatafuta sifa Kwa Kasi Sana,hajui kuwa kama sio Mama Samia kutaka atolewe saivi angelikuwa bado anachezewa matako gerezani? Ajirekebishe mshenzi Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.