-------- huna akili wewe, hivi hao wasaliti wanatumiwa kama kondomu na ccm, ndio hao unaosema wanajeshi waliomstari mbele, hivi kwa akili ya unafikili zitto na hao vibaraka wenzie watafifisha ndoto za mbadiliko za watanzania, akili ziko wapi wewe, inawezekana hujui kuwa unaisapoti ccm kupitia...
Mungu amewalaani kwa ulaghai wanaolifanyia taifa hili, alishindwa kusimamia haki juu ya nini kinachotakiwa kufanywa na wajumbe wa bunge la katiba, yeye akaruhusu uvunjwaji wa wazi kabisa wa kanuni kwa shinikizo la ccm wenzie, akaruhusu matusi, kejeri na zarau kwa wajumbe wa UKAWA, akaruhusu...
Sheriti moja tu na liko wazi, kujadili rasimu iliyosilishwa na Walioba, iliyobeba maoni yetu wananchi, kinyume na hapo hakuna kurudi bungeni, kweli ccm ni mashetani, wanashindwa kuheshimu roho ya nchi.
Ni jambo la msingi, elimu ya uraia yafaa ipelekwe mpaka vijijini, uzuri saizi ni kwamba watu wameanza kuelewa, hivyo tukiwatembelea itakuwa ni hamasa kubwa sana, kilalakheri makamanda.
Mna laana za wazazi wenu, rudini mkaombe radhi, usaliti mnaolifanyia taifa hata Mungu hapendi, huwezi kusema unaichukia ccm na kumbe unatumika kuibeba kupitia ACT.
Hii ni laana inayowatafuna, kuwafanya wanawake wa Tanzania kuwa mtaji wa kuwaweka mafisadi madarakani, kwa kisingizio ni umoja wa wanawake Tanzania kupigania haki zao, kumbe unafiki mtupu, ndio maana lichama lao linayumba siku hadi siku, saizi vijana tulioelimika tunapiga kampeni kuwaelimisha...
Kamanda, wanaoondoka acha waondoke, sababu wanadhihirisha mbele ya umma ni jinsi gani walivyowajinga, hao walikuwa kenge kwenye msafara wa mamba, hatuwezi kusafiri na wanafiki, mtu mwenye akili hawezi kutoka CHADEMA, sababu anajua uwepo wake pale na nini kinachopiganiwa, wenye tamaa ya shilingi...
Songa mbele kamanda Mbowe, wanaokutupia mawe yawarudie wenyewe, tunashukuru kuzidi kutumbusha kuwa Mbowe ni kiongozi bora, na kiongozi bora wa upinzani lazima asakamwe na ccm kwa namna mbalimbali, kama kutengeneza wasaliti ndani ya chama kama kina zitto na vibaraka wote, na njia nyinginezo, na...
Hakuna cha ajabu hapo, tena kama ni kweli, hii ni neema kwa CHADEMA, kwani hii ni furusa ya watu wasafi, wazalendo, wapigania haki, wataka mabadiliko yenye maslahi kwa taifa, kuchukua nafasi na kulisongesha mbele gurudumu la mabadiliko kwa moyo thabiti wakiongozwa na Mungu, baada ya uchafu...
Ccm mtasubili sana, CHADEMA haiwezi kufa kitoto hivi, chama hakitangaziwi JF, njooni muitangaze hiyo ACT huku mtaani, tuwapime sera zenu kama zinauzika au zinanuka, na tuwahoji kilichofanya msaliti na kuanza kutumiwa na maccm nje ya uongo mnaoueneza ambao umekosa mashiko.
Ukiona mtu anaondoka CHADEMA, jua huyo hakuwa mwenzetu, hilo lilikuwa galasa lililopoteza mwelekeo, na mziki wa CHADEMA hauwezi ni mdebwedo huyo, mwanachama au kiongozi wa CHADEMA hawezi kukimbia mapambano, na ukiona hivyo, jua hiyo ni ishara nzuri kwa chama kuelekea ushindi, kwani kukimbia kwao...
Mapendekezo yako si mabaya kwani huo ni mtazamo wa mtu, na hii inaonyesha jinsi CHADEMA ilivyo na rasilimali watu wa kutosha ndani ya chama, na hii inaonyesha ni jinsi gani Mbowe na Dr Slaa uongozi wao ulivyo thabiti na mafanikio makubwa katika kuliongoza jahazi, kwa mtazamo wangu, nafasi ya...
Ukikubali kutumiwa na maccm, lazima uhiari pia kujikosesha heshima, hadhi na imani kwa watanzania, CHADEMA mpango wa Mungu, ukombozi kwa watanzania umefika.
Ninasikitika sana kwa mtu kama mwandosya kutumika kuwakwepesha watanzania kwenye mijala ya msingi, wanataka watanzania wasahau kuhusu mjadala wa katiba, ufisadi wa milioni 200 na uchaguzi wa serikali za mitaa, wamemtumia kijana mhuni january makamba wameona hoja zake hazina mashiko, wamemleta...
Pamoja na yote, cha msingi tuwaelimishe watu waliokata tamaa na kuona kwamba hawana nguvu ya kufanya maamuzi katika taifa, wameiacha nchi katika hali ya ukiwa kwa kutofanya maamuzi sahihi nchi iongozwe vipi, wamelisusa taifa huku wakiamini kuwa wameisusa siasa, hiki ndicho kinachotumeza...
nilijua mmejipanga kuwaletea maendeleo wananchi, kumbe kumng'oa Kamnda Msigwa ubunge, ehee mkishamng'oa inakuwaje sasa, ili muendelee kula fedha za mfuko wa jimbo la Iringa kama mlivyozoea, au mnataka mwe mnafanya ujangili kiurahisi baada ya kuona mnabanwa, mtasubili sana, wananchi lao ni moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.