Lowasa ana wakati mgumu sana ili kuwafanya raia wamwelewe kama hakuhusika na kashfa ya Richmond. Ikulu kuna nini hasa mpaka mtu apasake kwa nguvu kama anavyofanya Lowasa??.
Kweli Lowasa angefaa lakini kuna jambo linalonipa wasi wasi nalo ni hili: Pesa anazotoa ktk Harambee anazitoa wapi?? Pia anategemea kuzirejesha kupitia njia ipi?.
Kutokana na mazoea yaliyojengeka vichwani mwa Watanzania wengi kwamba ukipewa uongozi ni sawa na kupewa Funguo za Strong room ya Benki kuu ndio sababu watu hamuamini kama hapo ndo kwa marehemu Mgimwaa. Binafsi nimekubali kuwa bado wapo viongozi wazuri Serikalini
Si kila makofi anayopigiwa mtu inamaanisha amekubalika, wapiga makofi wengine ni wanafiki na wazandiki. Jambo la maana ni utendaji mzuri wa kazi hayo maisha yake hayatuhusu saaana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.