Kikao cha bunge kilichoisikilza taarifa ya kamati ya Lembeli juu ya opereshen Tokomeza kwa kwel kilikua kizur sana kwan wananchi walifurahi sana pale walipoona wabunge wote wamekua kitu kimoja na kutetea wananchi.Ilkua ni furaha kuona mbunge wa Ccm,Chadema,Cuf na vyama vingine vyote wanasimama...
Hivi karibun baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwachukulia hatua viongoz wake waliokosea ndan ya chama watu wenye kuweza kuandika hoja pasipokua na uelewa na uzalendo wa nchi yao wameanza kuendeleza hoja zisizokuwa na mashiko wala msingi wowote za mara Chadema ni chama chenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.