Kampala President Yoweri Museveni flew back home from the US on Saturday night on a commercial airliner in the economy class.
According to Tamale Mirundi, the president's spokesman, Museveni's decision to fly on a British Airways flight in economy class was a signal to the Government officials...
Gsan yuko hapo akiongea najamaa wote walioshoot hiyo video kongoli hapo chini
http://www.bet.com/Specials/hiphopawards09/hha09_videos/hha09_video_cypher.htm?playlist=HHA_The_Cypher_&videoindex=1&Referrer=%7B6F68F581-D342-4E3E-9B14-12EBB84CE39C%7D
acheni majungu ufisadi wake ni nini ?labda wewe hujui maana ya ufisadi.kwanza 6 hapewi pesa mkononi pili inasemekana ni wahasibu na msaidizi wake ndio wanaopanga gharama za kusafiri,na sio 6 sasa iwaje yeye ndie fisadi ?yeye anachojua ni kupanda ndege na kwenda...
moderator moderator !!! stop stop haya mambo ya kuruhusu watu wa kawaida wanawekwa humu jamvini sio vizuri,unaanzisha hii forum iwe kama THE UTAMU na mwishoe ije ifungwe jaribu kutoa pumba hizi
MTOTO wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete amepewa wadhifa nyeti ndani ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), mali na miradi yote ya umoja huo zitakuwa chini yake.
Ridhiwan amepewa nafasi hiyo wakati baba yake akiwa ni Mwenyekiti wa CCM Taifa, huku UVCCM yenyewe, ikiwa katika...
Aibu tupu Ikulu,Ingoja wasome hii kitu labda akili zitawakaa sawa,Kwa huo upuuzi wa kutumia Yahoo.Kuna watu kesho watakua wana Password ya upuuzi.kuna watu wanajua kuichezea
http://www.cl.cam.ac.uk/~rnc1/brute.html
mkuu,nashukuru kwa points zako,naomba nikukumbushe pale pale c.c.m ni upuuzi zi haina kitu chochote zaidi ya ufisadi .ila wewe unategemea nini kutoka chama kingine ?ukizangatia most of them watoka c.c.m yani unategemea wao ndio wachukia hongo ? na ufisadi ?
Ni n kweli kwenye swala la breaking News nimechemka na ninaomba radhi saana wana Jf na baada ya hapo nasubiri nijibiwe maana mpaka sasa watu wanazungumzia tu breaking News na sio jibu ninalo lihitaji ama majadiliano ninayotaka kuyajua .
swali ni kwamba unategemea...
wewe solomon natamani niiingie kwenye hii pc nije nikupe shule kidogo ya mabo haya ama yani mjadala mzima labda utanielewa nakupatia tena swali langu.na ni hili
UNATEGEMEA NINI CHAMA KINGINE KIKIWA KWENYE POWER?
TUNAJUA CCM IMESHA MESS UP SASA TUELEZE SIO ULETE...
Mimi siko ccm wala chama chochote hapa bongo maana vyama vyote kamba tu, mim nina kazi yangu professional,
swali linarudi pale pale unategemea nini ? ama mabadiliko gani ? wakati ukizangatia wengi wa hao hao wanaotaka kutuongoza hata pesa ya kuwapeleka watoto...
Swala sio kushabikia chama chochote mimi siko c.c.m ama chama chochote. hebu nieleze wewe unachojua swala langu hapo ni kwamba unategemea nini chama kingine kikiingia madarakani ?
RK
Habari zenu waungwana wa jf ,mimi nimekua nikiangalia mIjadala kibao ya siasa humu ndani lakini bado najiuliza swali moja gumu sana. Na swali lenyewe ni kwamba hivi kweli watu wote humu ndani mnaamini kwamba chadema ama chama kingingine chochote kkikiingia madarakani basi wizi ufifadi utaisha ...
Zitto akiwa RAISI BASI MAMA YAKE ATAPEWA U BALALI (GAVANA WA BOT) ULAJI UNAENDELEA PALE PALE KAMA CHI CHI EM. MAISHA HAYA NI KUFANYA KAZI SIASA POROJO TUPU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.