Safi Sana tena Bomoa Bomoa ianze Mjini.
Watu wame Jenga Holela .
Uta kuta mtu kajenga kwenye Mlango wa Dharura pia .
Kigezo ana sema amepewa kibali ana ziba mlango wa dharura
Eti tumia mlango ...Iliyopo
Na Ya Dharura ana weka kioski au kufanyia biashara ...
Haswa Kariakoo majengo yote kingilio...
safi sana tena wa anze na Majengo Ya Mjini yame jengwa holela hakuna safe pasaage
Serikali imewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Ardhi, Maafisa Ujenzi na Maafisa Mipangomiji kuweka alama za X na kuvunja majengo yote yanayojengwa katika miji yao bila kibali na yale yanayojengwa katika...
wafukuzwe wote.......walipe nani hii posho wakati wana lipwa mishahara .....na matupurupu zote mafuta , magari na hoteli......kwani wana enda kujadili nini zaidi ya yalioyo sya pangwa............miposho in maliza nchi....
eheeee wabongo nyiye basi muwe veji nyote amani kwa wanyama na amani kwa dinii .........hii ndiyo suluhisho. badala kukaa na kufikiria mambooo muhimu ya kiuchumi mna gombana kwa ajili ya kuchinjaa ... kweli hamuna kazi.......
safi sana na mfano kwa vijana wote kuiga mfano. viongozi hao ni viongozi na wame jitolea kujenga taifa. mhe zito, mhe david, mhe mbowe ,mhe mdee hongera sana kwa kutoa mfano wa kuigwa . Nchi kwanza na Vyama badaye. wana elewa kabisa kwamba sasa wana kwenda kumtii amri jeshi mkuu yana his...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.