Hali ya kisiasa inayoendelea nchini inajidhihirizha wazi kwamba ccm wako taabani kisiasa na wanachokifanya ni kujikaza kisabuni, sasa niwazi maandalizi yakuletwa kwa magari mengi yakipolisi niushahidi tosha kwamba ccm wataponea huruma za polisi ili wafunge GOLI LAO LAMKONO.. Lakin bila hivyo...
Siku ya alhamisi kuanzia saa saba mchana itakuwa siku rasmi kwa wadau,wanazuoni,wanafunzi , ndugu na jamaa wote kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa mkuu wa chuo kikuu cha dar es salaam,prof.fulgence kazaura. Shughuli hiyo itafanyika ktk ukumbi wa nkrumah uliopo chuoni hapo. Mungu...
Mwili wa aliyekuwa mkuu wa chuo kikuu cha dar es salaam aliyefariki siku ya jumamosi huko india umewasili rasmi leo tarehe 25 february.
Shughuli za kutoa heshima za mwisho kwa wanazuoni,wanataaluma wote,wanafunzi, ndugu,jamaa na wadau wote zitafanyika Siku ya Alhamisi ktk ukumbi wa nkrumah...
Hii big results now nadhani inapeleka kuua elimu yetu. Mawazo yangu nadhani serikali imepanua magoli ili ije ionekane imefanikisha hiyo big bresults now kwakuwafaulisha vijana kwa madaraja ya ajabu ajabu.hainiingii akilini kusema eti wanafanya majaribio kwa muda wamiaka minne, maana yake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.