Najua hii ndo dunia, dunia rangi rangiree
Na watu kwenye dunia, aso hili ana lileeee
Lolote lile watakutafutia, ili upate upige kelele
Mie mdomo sitaufungua, ndo kawaida yangu milele
Ooh wao sio mifano mizuri ya ndoa maybe; but haimaanishi kuwa ndoa ni kitu kibaya. Na Kila mtu ana deal breaker yake. Kama walikoseana hadi kupeana Ukimwi lakini wakaamua kusameheana; good for them. Wapo watu wengi tu ambao wana ndoa nzuri na sio kwamba ni 2 perfect people; as long as wao...
I know a lot of people ambao wanatumia "dozi" na wamefanikiwa kuishi miaka mingi tu. Na ukiwa muathirika haimaanishi kwamba ukifa tu basi ndiyo HIV imekuua.
Kwa umri wangu huu niliyofanikiwa kuishi; nimekuja kugundua kitu kimoja (majority cases). Baba anapata nguvu kwa mama/mkewe; na mke...
Mnapendaga kujustify ujinga. Wote hao hawakuwa kataa ndoa; na katika wote hao hakuna mtu ambaye alii-honor ndoa yake kama Kibonde. Kibonde ambaye baada ya mkewe kufariki alishindwa kukaa kwenye nyumba yake mwenyewe; akawabeba na watoto wake wakahamia kwa wazazi wake sijui. Unaweza ukaimagine...
Wanastahili heshima na appreciation kubwa sana. Roles wanazoplay kwenye maisha yetu na watoto wetu; daah Mungu awabariki wadada wote wanaotunza familia zetu kwa uaminifu na upendo. Na atusaidie na sisi tusikose fadhila juu yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.