Nina changamoto ya gari kuwaka kwa shida, nimebadili spark plug, fuel pump na petrol filter pasipo mafanikio.. Naomba ushauri nipate pa kuanzia. Gari ni Suzuki Escudo old model.
Wadau nina gari aina ya Suzuki Escudo, tulibadilisha slinder head gasket baada ya gari kugoma kuwaka na kuchanganya maji.
Sasa injini haizunguki kabisa ijapokuwa mwanzoni iliwaka kwa kumiss sana.
Maoni yenu wadau.
Gari yangu haitulii barabarani hasa inapofika spidi 40 kwenye lami,na 60 kwenye changarawe,while allignment nimefanya,upepo huwa napima mara Kwa mara.Ushauri wenu tafadhali.Ni Suzuki old model.
Gari haina misfire,engine inavuta
Vizuri,TATIZO utumiaji wake wa mafuta upo juu Sana yaani km 5 per litre.Mafundi wananiambia tatizo Ni control box.Je wapo sawa.Ni Suzuki escudo old model CC 1590.
Wadau poleni na majukumu.Nina Suzuki Escudo Cc 1590.Matatizo ya gari hii yananichanganya Sana.Kwanza gari inachemsha Sana,Haina nguvu na Sasa inakula mafuta balaa Lita moja kwa km 2.
Pia Sasa imeanza mchezo wa kupasua pipe ya return Cha ajabu hata ukiwasha na kubaki silence tatizo bado...
Nimetest spark plag mbili kwenye gari hazichomi,nikatest na nozeli mbili za plag hizo hazifanyi kazi pia.Swali he hii linaweza kuwa tatizo la ulaji wa mafuta kiongozi?
Tatizo lilianza pole pole ambapo pia lilipelekea pia kupasuka flau wheel tukabadirisha.Mechanically hatukujua chanzo cha flau wheel kupasuka kwa kiasi kikubwa.Cha msingi tatizo hili halijatokea ghafla.
Mkuu Nina Suzuki escudo cc 1590.
-RPM 4500 speed 60.
-Gari haina nguvu.
-Mafuta Lita moja km 5,
-Gari haina silence na muungurumo in mkubwa.Naomba ushauri mahali pa kuanzia ninapoenda kwa fundi.
Nina Suzuki Escudo old.Changamoto zake.
-RPM 4500 lakini speed 60
-Gari Ni nzito na haikamati silence.
-Mafuta km 5 kwa lots
-Mafundi wanasema engine oil ni tatizo,na gear box oil pia.Naomba mnaomiliki gari hizi mnisaidie pa kuanzia,gari ni automatic.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.