Wakati wa Bwana YESU kusulubiwa pale msalabani wale askari waligawana mavazi yake wakayapigia kura kila mtu atwae nini ? Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Mtumishi wa Mungu anaishi maisha ya kifahari sana kupitia sadaka, wakati huohuo kuna maskini, yatima, wajane, wagonjwa wenyenye...
Huja nielewa mkuu kumsifu Mungu kwa kucheza na kuimba hiyo iko Kibiblia haikwepeke na wala haiepukiki. Biblia imenda mbali imetaja vyombo vya muziki/ala
. Sasa mtu mwenye ufinyu wa mawazo atakuambia zeze sio gitaa., matari sio ngoma na mdundo wake ni tofauti.
Au niseme hivi kinanda...
Kunena kwa lugha hii ni Roho Mtakatifu ambaye ni msaidizi YESU aliye waahidi kuwaletea wanafunzi wake baada ya yeye kuondoka na kupaa mbinguni.
Eloi Eloi pale msalabani ilikuwa nini? Maana hakika BWANA YESU alipaza sauti.
Kwa haya maswali yako inaonyesha kuwa umeelewa. Msifuni BWANA kwa matari na kucheza. Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya! Nimeipenda sana hii.
Angalizo lusifa kabla ya kuasi huko mbinguni alikuwa kwaya masta. Ndio maana muziki wa kidunia umeshamiri na una nguvu sana kuwa potosha...
Mleta maada inawezekana kabisa wewe ni msabato au unaujua usabato vizuri.
Na kuuliza maswali ya fuatayo;
Wasabato wana Biblia tofauti na wakristu wengine.
Je Biblia ya kisabato ina kitabu cha zaburi?
Kama inakitabu cha zaburi hebu soma zaburi 150.
Huo utukufu na sifa za Mungu...
Mbona kuna ambao wazazi ni makuli wanawapigia mapande watoto wao wanakuwa makuli hamsemi mnakuwa kimya tu.
Hii ni hulka tu ya wanadamu haiepukiki, ndio maana utaona watoto na wazazi wako katika harakati za kuusaka urais au kumuweka rais wanaye mtaka huko jamhuri ya kati.
Asili ya waha ni ubishi unapoteza muda wako kumshauri huyu mh. Zamani baada ya kujua neno tireeeni wakakataa kuita gari mooshi lilotumika awali. Akiambiwa gari moshi atakuambia hapana mugabo ni tireeni. Sasa ukumbuke kuna za umeme na bullet train. Atakubali wapi tena gari moshi, usipoteze nguvu...
Kwenye kuchukua na kumiliki ardhi ya Tanganyika mnaona sawa na hamuoni kuwa suala hili linatakiwa lipitishwe na blw. Ila linapokuja suala la serikali moja znz inamezwa.Nakuambieni huu ubaguzi wenu una mwisho. Kwa utaratibu huu operesheni kimbunga itadumu sana tu.
Hayo ni maneno ya mh EL akitoa shukurani kanisani kkkt Monduli. Kasema ni maneno anayo ya penda na yako katika Biblia Takatifu, na akawambia rafiki na jamaa zake waliofika kanisani kushiriki naye tendo la shukurani kuwa wamefanya vizuri kusimama na kuhesabiwa.
Kusimama na kuhesabiwa huku ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.