Haya ndiyo madhara ya matumizi mabaya ya hakiri, ukipewa kitu bila malipo na kupewa kitu hicho hicho bure, wanazuoni naomba mnipatie utofauti katika maana.
Hakika nakosa la kuongea, sasa najiuliza Mh. Nnape report atakayoitoa kama itamuona Makonda ana hatia, na kwa mujibu wa nilivyomuona pale kwenye press conference kama nimemuelewa watashauri hatua za kuchukuwa, lakini mkuu kwa nguvu zake zote kamlinda mtuhumiwa, je kuna uwezekano Nnape...
Nafikiri huyu ndugu hajui haijuwi katiba ya Tanzania namshauri akaisome kisha atajigumdua namna alivyojikanyaga kifupi si Juma Duni au Jussa kwa mujibu wa katiba wote hawana sifa ya kuwa wagombe wenza mgombea mwenza anatakiwa atoke kwenye chama kilichotoa mgombea uraisi si mimi ninayesema ni...
Watu wanakesha usiku kucha, mchana kutwa wanahoji kujificha au kisepa kwa Dr. Slaa, kwani Mnyika mbona hamuulizi aliko, maana naye haonekani au yeye hana hadhi, naye ni mpiganaji mbona mmemchunia sio vizuri, acheni hizo.
Nendendeni mkawafanyie CCM umbea mliokuwa mnatufanyia sisi hatusikii hatuelewwi mtaji wa kura ni watu na watu wenyewe ni ndiyo hawa wanaokuja sasa mungu akupe nini usiseme Lowasa tu mseme Lembeli, Bulaya, Ole Medei na wengine kifupi hatutaki ushauri wenu kawashaurini ACT labda watawasikia sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.