Search results

  1. ajili ibrahim

    Kwa wakatoliki tafadhali...

    Aya nyie nendeni chaka tu:sad::sad::sad:
  2. ajili ibrahim

    WIZARA YA ELIMU na MAFUNZO yakanusha kuondoa Masomo ya DINI, KIARABU ktk MITIHANI ya TAIFA

    Ebana mbona combination ziko nyingi mfano KLA Na kitu chengine vyuoni xaxa iv kuna facult nyimg ambazo zinaitaj watu waliosoma ARABIC,ISLAMIC KNOWLEDGE ww unakataa coz BIBLE knowledge haina IMPACT yeyote ktk jamii kuliko islamic knowledge inamfanya mtua awe AWARE & CONSCIOUS kwa msingi huu BIBLE...
  3. ajili ibrahim

    WIZARA YA ELIMU na MAFUNZO yakanusha kuondoa Masomo ya DINI, KIARABU ktk MITIHANI ya TAIFA

    Sasa watu wa waliunda mswada huu wakupendekeza kutolewa masomo ya dini na lugha ya kiarabu na kufanywa kwamba yawe masomo ya option yaani hayatakuwa yakiesabika kupandisha daraja la ufaulu je watu kweli wanawatakia wazanzibar kheri alafu vilevile wizara ya elimu ya zanzibar haikuusishwa kuunda...
  4. ajili ibrahim

    Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

    Jaman mbona mnabishana bila ushaidi wowote kama kweli nyiny ni wasomi bishaneni kwa hoja na sio matusi na kashfa hii sio sifa ya watu wastaarabu na wasomi nimemaliza
  5. ajili ibrahim

    Watuhumiwa wa UCHOMAJI kanisa KKT mbagala waachiwa huru

    ww jamaa ulipotosha xana watu ulipo andika uzi wa '''mfumo kristo'' alafu naapa unajifanya kama ujui ukweli lakin kitu cha msingi ni kwamba kùusu kadhia ya kukamatwa hawa waislam na kushakiwa mfumo kristo ndo ulitake place lkn mungu kawaokoa dhid ya mfumo sugu wa kikafiri
  6. ajili ibrahim

    Laptop Inauzwa..

    Mkuu vp front camera ipo
  7. ajili ibrahim

    Kama kweli WAISLAM wanachukizwa WAANDAMANE KUPINGA!!

    akhy hawa ni minal khasiriin!!!
  8. ajili ibrahim

    Kama kweli WAISLAM wanachukizwa WAANDAMANE KUPINGA!!

    Nyie vijana acheni kuujadili uislam ebu angalieni kwanza nafsi zenu zmetanguliza nini kwa mungu imagine kama ukifa sasa iv je matendo yako yatakupeleka wap kwanza angalieni nafsi zenu uislam wenyewe mnajifunza kupitia media kama ukitaka kujua nn maana ya uislam na mafunzo yake soma vitabu...
  9. ajili ibrahim

    Vijana 11 wakamatwa Mtwara wakiwa na Silaha za Kivita na CD za Al-Shabaab!

    Marekaniîmeshindwa vita na Alshaabab sasa iv wanachokifanya ni kutumia majeshi ya nchi za Africa kama Kenya .Uganda & Ethiopia dhid ya àlshaabab
  10. ajili ibrahim

    Tatizo umagharibi pia kutaka kuwa zaidi ya uislam

    Xku moja ulaya itatawaliwa kwa sheria Za kîislam ''BIMASHIATLLAH''
  11. ajili ibrahim

    JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

    Mwenye majina hayaweke hapa web ya jkt inazingua kufunguka majina
  12. ajili ibrahim

    JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

    Jaman wakuu weken majina watu tujicheki roho zko juujuu
  13. ajili ibrahim

    Students Loan Allocation List for 2013/2014 FOR ARDHI ONLY

    mkuu mbona haya ni ya 2nd year sababisha ya first year
  14. ajili ibrahim

    habari za uhakika kutoka HESLB.

    next tym utaponza mwili wako kwa kukurupuka
  15. ajili ibrahim

    Jkt

    xaxa iv ninachat na jamaa yangu yupo jkt Tanga anasema wao tareh 22 wanaondoka lakin kwa kambi nyingine cjui xawa mkuu
  16. ajili ibrahim

    Msaada Jinsi ya Kuangalia Salio la Megabox

    wakuu kama miongoni mwenu kuna mtu anajua kifurushi cha mega box cha 500 huwa kina MB ngap tafadhali anijuuze maana mm mpaka xaxa iv nimedownload data zenye ukumwa wa zaid ya MB 120 lakin naona bado kitu kinapga mzigo
  17. ajili ibrahim

    Toka ndani ya Polisi: Sababu za FFU kupiga, kuua raia ovyo zatolewa. Inatisha!

    Kweli jomba nikikumbuka yaliyonikuta mtwara kipindi cha vurugu za gesi na hayo unayosema ni kama unanikumbusha picha iliyotokea mtwara ffu akili zao wanazijua wenyewe jamaa hapo juu akipata kichapo kutoka kwa ffu Mtwara mtaani palikuwa hapakaliki jaman FFU wahafai
Back
Top Bottom