Ebana mbona combination ziko nyingi mfano KLA Na kitu chengine vyuoni xaxa iv kuna facult nyimg ambazo zinaitaj watu waliosoma ARABIC,ISLAMIC KNOWLEDGE ww unakataa coz BIBLE knowledge haina IMPACT yeyote ktk jamii kuliko islamic knowledge inamfanya mtua awe AWARE & CONSCIOUS kwa msingi huu BIBLE...
Sasa watu wa waliunda mswada huu wakupendekeza kutolewa masomo ya dini na lugha ya kiarabu na kufanywa kwamba yawe masomo ya option yaani hayatakuwa yakiesabika kupandisha daraja la ufaulu je watu kweli wanawatakia wazanzibar kheri alafu vilevile wizara ya elimu ya zanzibar haikuusishwa kuunda...
Jaman mbona mnabishana bila ushaidi wowote kama kweli nyiny ni wasomi bishaneni kwa hoja na sio matusi na kashfa hii sio sifa ya watu wastaarabu na wasomi nimemaliza
ww jamaa ulipotosha xana watu ulipo andika uzi wa '''mfumo kristo'' alafu naapa unajifanya kama ujui ukweli lakin kitu cha msingi ni kwamba kùusu kadhia ya kukamatwa hawa waislam na kushakiwa mfumo kristo ndo ulitake place lkn mungu kawaokoa dhid ya mfumo sugu wa kikafiri
Nyie vijana acheni kuujadili uislam ebu angalieni kwanza nafsi zenu zmetanguliza nini kwa mungu imagine kama ukifa sasa iv je matendo yako yatakupeleka wap kwanza angalieni nafsi zenu uislam wenyewe mnajifunza kupitia media kama ukitaka kujua nn maana ya uislam na mafunzo yake soma vitabu...
wakuu kama miongoni mwenu kuna mtu anajua kifurushi cha mega box cha 500 huwa kina MB ngap tafadhali anijuuze maana mm mpaka xaxa iv nimedownload data zenye ukumwa wa zaid ya MB 120 lakin naona bado kitu kinapga mzigo
Kweli jomba nikikumbuka yaliyonikuta mtwara kipindi cha vurugu za gesi na hayo unayosema ni kama unanikumbusha picha iliyotokea mtwara ffu akili zao wanazijua wenyewe
jamaa hapo juu akipata kichapo kutoka kwa ffu Mtwara
mtaani palikuwa hapakaliki jaman FFU wahafai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.