Tufanye Tamasha kubwa lingine la "ZINDUKA" na tuwachaji walalahoi zaidi ya Shilingi 10,000/= kila mmoja atakaye jumuika katika tamasha hii, ili kuwatokomeza kabisa hao walalahoi katika jamii. Tuwape hao Mafisadi hizo pesa ili wanunue silaha kabambe kutoka China za kutumaliza kabisa, ili tuwe...
Naomba kuuliza. Je, Mlemavu lazima awe ombaomba?
Kila ninaposimama kwenye mataa za kuongozea magari kwenye barabara za Dar ninakuta walemavu wana omba wakigongagonga madirisha za magari na kunyosha mikono. Je, hii hali inawezekana kubadilishwa/kubadilika? :confused:
Kumbuka Samaki haijatajwa kwenye swali, ila vingine vyote vimetajwa.
Fuata Jedwali ifuatayo:
Nyumba 1 Nyumba 2 Nyumba 3 Nyumba 4 Nyumba5
Nchi Norway Denmark Mwingereza Mjerumani Sweden
Rangi Manjano Baharia Nyekundu Kijani Nyeupe
Kinywaji Maji Chai Maziwa Kahawa Bia
Mvutaji wa Dunhill...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.