Hakuna Shirika la wagonjwa was akili kama like. Namba yao iliyokwenye website Yao ya TTCL ya uongo. Sasa sikiliza vituko vyao. Nilitaka kukata tiketi 7 na familia yangu ili niondoke 22/12 Moshi kwa ajili ya Christmas na matukio ya kumaliza misiba ya kifamilia ilipofika tarehe 14 nikaingia...
kuna Ile while inapotea St Joseph kule Goba imejengwa na wakristu KWA kuchangia lakini ulizia karo yake wee utakimbia.Shule imekuwa kea ajili ya watoto wa vigogo tu hadi aibu.Kanisa limegeuza huduma za elimu na afya biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.