Unakosea kaka kumrekebisha mtu ni kumsaidia awe bora zaidi ya awali!!
Kuna mifano ya watangazaji wengi ambao wanajitahidi kutumia lugha vutivu mfano Marina Hassan wa TBC one!!
Au kajaribu kutupia jicho watangazaji wa CITIZEN TV utapenda jinsi watumiavyo lugha yetu pendwa..
We saw Mwalimu's socialistic ideas as rubbish!!
We embraced capitalism in which fewer of us own the wealth that God our father as gifted us with.
It is in this capitalism that now one Tanzanian own 8 hecras of land while there are many others own nothing!!!
Capitalism!!!! One swims in the...
Hivi wewe huwa hauna ufahamu au ni punguani wa kuzaliwa?
What so special about shule ulizosomea anyway?
Nimekuwa nikikuangalia sana mda sasa na comments zako za ajabu...khaaa wewe sio mjinga ni mpuuzi --------!!!
Mods hivi huyu nae ni JF senior expert member!!!!?
Kaka umechelewa sana anyway nenda msimbazi centre faster labda waweza saidiwa.Ninavyofahamu shule tajwa huwa mapema mno zinatoa fomu za kujiunga...good luck.
Mimi sidhani kama wewe umerukwa na akili...anyway swalilo ilibidi utupie kule jukwaa la lugha!!! Sema kwa sababu hili ni jukwaa la elimu basi tutambue kuwa hili ni jukwaa mama!! Ngamia ni neno lenye maana mbili; kwanza ngamia ni mnyama anayeishi jangwani na pia ngamia ni kamba kubwa ambayo...
The truth:
Ni kweli tabia kama hizi za kuanzisha threads nyingi zinazohusu jambo moja imekuwa sugu JF asa jukwaa hili.
Hasara yake:
Threads nyingine nyingi ambazo zina mambo mengi mazuri pia zinashindwa jadiliwa.
Faida:
Ukweli ni kuwa threads hizo zihusuzo jambo moja zinatofautiana katika...
La kuchukulia poa lipi wewe?
Umeandika vitu so serious afu unataka tukae kimya!!!
Tatizo mnadhani hamfahamiki huku kuna watu wanawafahamu zaidi ya unavyofikiria!!
Ni kweli humu we dare to take openly but even serious lies as if hivyo vifo vimetokea kweli!!?
Narudia tena futa thread hii na...
Naomba futa uzi huu kabla sijakuumbua mwongo mkubwa wewe. Hivi umekuwa na chuki kiasi hiki mpaka unatunga uongo...wewe ni mchonganishi na hufai kuwepo humu aya futa uzi huu haraka na uombe radhi kwa kuupotosha umma.
You're too proud!! Those harsh words of yours will bring your downfall and sincerely I pray to God so that you can have misfortunes in your pathetic life!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.