Niliwahi kuandika huko nyuma Lowassa kenda kuwasuta na pia nikaandika akiisha watengenezea watamuanzia visa wamtupe nje. Mzee kastuka mapema kasepa.
Chadema siasa hawaijui ni waropokaji tu . Utaanza kuwasikia waropokaji haswa Le
Mlimteka nyie kama kawaida yenu ili mumyumbishe Kamanda wa kiukweli JPM. Imebuma. Sasa mrudisheni yule msaidizi wa Mbowe kachoka huko mafichoni kwani serikali hii si ya mchezomchezo
Hahaaaaaas haaaaaa mnafiki tu Zitto habari ya mujini sasa ni mahesabu ya chama lako. Umeshindwa kukuza lichama lako unawatumia wasio na akili kukuza wewe binafsi na ilivyo mijinga imekukumbatia tu. Umeisha
Nonsense. Kumjibu kichaa nawe utaonekana kichaa. Chama kimemshinda kajishindilia Ukawa na kwa sababu wenyewe pia wa hoi wamemkubali. Hamna kitu hapo. Ngoja sasa wale waliosema ulitaka kuwahujumu kwa pesa ulizopewa pale benki wakushughulikie. Kuna yule jamaa wa Arusha mzoefu wa shughuli hizo...
Narudia tena wewe ni mjinga na pimbi. Badala ya kusikitika benki zinaiba pesa zetu za kigeni kwa kukiuka taratibu za Benk wewe unashangalia. Tena ungekuwa karibu yangu na makonde ningekupiga swine
Kwa hili hujamaliza adha ya mikopo ya nchi za Magharibi. Umechagua yanayokidhi haja yako"
"Ni kweli kwamba nchi za magharibi zinaambatanisha mikopo na masharti mbalimbali, kama haki za binadamu, demokrasia, mambo ya mazingira na mambo mengine(mambo ambayo Mimi binafsi ninakubaliana nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.