Wewe mpumbavu Kwani kwenu huwa watu hawafi;acheni argument za kipumbavu,huyo unaye mwita mshamba amekuwa Rais wa nchi wewe mjanja kwenu nani amewahi kuwa Rais!!
Magufuli alikuwa anafukuza wawekezaji ila sasa Mama kawarudisha,nchi imetulia!!!
Wafanyabiashara wenyewe sasa🤣🤣🤣🤣.
Huu uhuni nenda ufanye Marekani kwenye taifa la kidemokrasia-kidikteta,uone utakavyonyolewa kipara na chupa badala ya wembe!
(Kuna mahusiano makubwa sana kati umasikini na utawala...
Sisi kwa rasilimali tulizonazo tulipaswa kuwa tunavutana na akina South Africa, Egypt na Nigeria.Tukidhibiti ufisadi,hakuna nchi ya kutukamata kusini mwa Afrika!
Kuna yule Mwamba alikuwa anasimamia ujenzi wa Barabara kule kusini na degree yake ya Philosophy na yule Mwamba alikuwa na Makamu wa Rais kule Mwanga anasimamia ujenzi wa hospitali akiwa ni Engineer wa Kilimo.
Inahitaji akili ya mwenda wazimu kuwatetea watumishi wa umma wa nchi hii!
We expected a Manager to give a broader view of the roads he is responsible with as a Regional manager;in terms of how many kilometers his office currently is maintaining and how far have they gone, explain to the common Wananchi to understand what are gazetted roads and how do they look like...
Kwa mtazamo wa Pascal itafika mahala ata Wabunge wakiwahiji Mawaziri wataambiwa wanafanya Bullying and intimidation.
Yaani Boss wangu ananiuliza kuhusu utekelezaji wa majukumu yangu nashindwa kueleza,then anyamaze tu,kweli!
Essential skills a Manager must have;
1.Communication skills
2.Leadership skills
3.Problem solving skills
4.Decisions making skills
5.Time and organization management skills
.........
Kwa kifupi yule Meneja wa TARURA Arusha hana uwezo,apangiwe kazi nyingine!
Kwani anaye tumia pacemaker hawezi kuuwawa?
Maalim Seif naye alikuwa anatumia pacemaker?
Vipi kuhusu vifo vya ghafla vya watu wa karibu na Magufuli; Engineer Mfugale na John Kijazi!
Ngoma bado mbichi,CDF Mabeyo kaonesha wazi kuwa kwenye vyombo vya usalama jambo la Rais kufa kienyeji halijakaa sawa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.