habarini wanajamvi nimesikia tetesi kwamba wanaoenda jeshi kwa mujibu wa sheria baada ya mafunzo hupewa fursa ya ku apply moja kwa moja kwa wanaopenda.,naomba kujuzwa kwa anaefahamu natanguliza shukrani
Habarini wanajamvi
mimi ni mwanafunzi kidato cha sita mkoan pwani nasumbuliwa na usingizi mara kwa mara hasa baada ya kula muda wowote kwa anaeijua tiba..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.