kama ukitaka nguvu za kiume ww mara kwa mara kura vyakura vya asili tu wagaga wenyewe wanachanganya na viagra.ishi kama babu zako wa zaman.lakini ww asubui mkate.na chai mchana piza jioni wali.nyama ya kopo maziwa ya kopo.nguvu za kiume ni tabia yako
CCM TENA NASEMA CCM wote wanahaha lakini kifo cha njan miti yote huteleza.hawana sela tena ongeleen kuhusu nnchi sio dr slaa.maana yy slaa anaongelea kuhusu maendeleo ya nch sio ccm.mnaposikia chadema presha inapanda tulieni.kama maji ya kwenye mtung
kujalibu kufanja mabadiliko ndio jambo la msingi ili kuleta ushindani kwa maendeleo ya mpwapwa.maana hawa wabunge hakuna wanachofanya.kiujumla miundombinu ni mibovu.hivyo hawa ccm wameshidwa kuwajibika kwa waliowapa dhamana.chukua hatua.
ww sivi yako iko wap?mbona hujatoa?huyu lema nim2 mchapakazi tofauti na wanaojivua magamba kama papasi.elimu ni upeo hekima busara uadilifu heshima uuaminifu na kuwajibika.unajua maana ya mtu mzima ovyo? tafakari chukua hatua hahaaaaaa teteeeeee.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.