Search results

  1. Nishati na Madini

    Big Results Now: Karibuni Mlimani City - July 03, 2013

    MPANGO WA KULETA MATOKEO MAKUBWA SASA KWA WIZARA YA NISHATI NA MADINI Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (Mbunge), anawaalika wadau wote wa Sekta ya Nishati na Madini kote nchini kwenye kongamano la wazi litakalofanyika siku ya...
  2. Nishati na Madini

    Hotuba ya bajeti ya wizara ya nishati na madini 2013/14

    HOTUBA YA KIHISTORIA YA NISHATI NA MADINI 2013/14 HII HAPA. DOWNLOAD UISOME ZAIDI http://ubuntuone.com/2EP8D9gb2isx4EJmM3DGDP HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. PROF. SOSPETER MWIJARUBI MUHONGO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2013/14 A...
  3. Nishati na Madini

    Taarifa kwa Watanzania: Namna Mtwara na Lindi inavyonufaika na gesi

    kila kitu ni hatua kwa hatua, sasa ndio tumeanza, tumeanza na suala la gesi na faida zake, lakini pia tutaendelea na suala la hiyo mikataba mnayoiulizia.
  4. Nishati na Madini

    Taarifa kwa Watanzania: Namna Mtwara na Lindi inavyonufaika na gesi

    ni ya wizara ya nishati na madini. na shirika la maendeleo ya petrol nchini ni sehemu ya wizara ya nishati na madini. ni kama vile wewe ambaye ni mtumishi wa wizara ya afya lakini unawajibu wa kuwahudumia hata baadhi ya idara zake inapohitajika.
  5. Nishati na Madini

    Taarifa kwa Watanzania: Namna Mtwara na Lindi inavyonufaika na gesi

    tunaamini ukiisoma between lines, na kama hautakuwa baised utaelewa vitu vingi sana.
  6. Nishati na Madini

    Taarifa kwa Watanzania: Namna Mtwara na Lindi inavyonufaika na gesi

    ni kwa sababu tumeamua sasa kujadiliana na watanzania moja kwa moja.
  7. Nishati na Madini

    Taarifa kwa Watanzania: Namna Mtwara na Lindi inavyonufaika na gesi

    tunashauriwa kutokutumia lugha zenye kuwakashifu ama kuwakera watu binafsi. ni vema tungejadiliana kuhusu faida tulizoziweka hapo juu.
  8. Nishati na Madini

    Taarifa kwa Watanzania: Namna Mtwara na Lindi inavyonufaika na gesi

    Wizara itaendelea kutoa ufafanuzi wa masuala mbali mbali kupitia humu mitandao ya kijamii
  9. Nishati na Madini

    Taarifa kwa Watanzania: Namna Mtwara na Lindi inavyonufaika na gesi

    isome between lines utaielewa vema. Faida za wana Mtwara kwenye rasilimali hizi ni lazima zizingatie pia matarajio ya watanzania wengi kutoka sehemu mbali mbali za nchi.
  10. Nishati na Madini

    Taarifa kwa Watanzania: Namna Mtwara na Lindi inavyonufaika na gesi

    WIZARA YA NISHATI NA MADINI SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI TANZANIA TAARIFA KWA WATANZANIA NAMNA MIKOA YA MTWARA NA LINDI INAVYONUFAIKA NA UTAFUTAJI NA UENDELEZAJI WA GESI ASILIA 1.0 UTANGULIZI Gesi asilia iligunduliwa kwa mara ya kwanza hapa nchini Mwaka 1974 kwenye Kisiwa...
  11. Nishati na Madini

    Rasimu ya sera ya gesi

    Habari zenu. kwa umuhimu wa kupashana habari Miongoni mwa watanzania. Wizara imeona ni vema ikaweka hapa link ambayo itawawezesha kuipata moja kwa moja Rasimu ya sera ya gesi asilia kama ilivyoandaliwa na wadau mbali mbali.http://ubuntuone.com/4DyMATV40FPGLswipEpYYZ karibuni muipitie na...
Back
Top Bottom