Kwa kweli hata hatuelewi maana kila mtu anasema lake, wengine wanasema huu ni mkataba wa mwanzo tu baada ya makubaliano nini kifanyike ndio utafatia mkataba kamili, wengine wanasema huu mkataba miaka 100, wengine wanasema mkataba wa maisha, wakati bado mazungumzo yana endelea TPA waendelee na...
Huyu Dr Slaa nilimshauri toka kwanza aige mfano wa kina mzee Malechela wameshastaafu na wamekaa kimya ila kama kuna jambo ndio utawasikia wakiongea tena kwa hekima kubwa, narudia tena Dr Slaa achana na vijana watakuvunjia heshima yako na pengine wanakujua kuliko unavyo jijua wewe mwisho wamesha...
Ukiisoma history in deep Zanzibar ndio nchi ya kwanza kuwa na umeme katika Africa kwa hiyo waliendelea zamani kabla ya nchi nyingine tuwape haki yao kwa hilo, ila ukienda kisiasa mambo yana geuzwa chini juu
Wakenya wanauwana wao kwa wao kuna wale wanaitwa makemboi ndio tatizo kubwa kabisa na tatizo sio warabu, mfollow Susan Elian katika YouTube, sidhani kama utarudia kulaumu waarabu
Sio kwa bandari za ulaya tu, sasa wameziingilia club za mpira na Manchester united nayo imepitiwa acha mchezo na pesa, wanachotaka wao walichowekeza kilete manufaa sio bla bla
Tajiri yangu huyu mzee nilikua namuuzia dhahabu enzi zile kabla hajafungua duka la stendi ya Mwanza, ni mzee ana roho nzuri mkweli na ana msaada sana kama utafanya nae kazi kwa uaminifu
Hata ukienda Dubai makampuni yana kusanya ushuru/kodi kwa niaba ya serikali, ni kitu kinacho wezekana ila kuna kuwa na uangalizi maalum chini ya serikali
Ni bora ya mwarabu kuliko mzungu, maana mzungu akiaanza kukutafuna mpaka una baki mifupa mitupu, angalia congo wanavyo itafuna nchi zao zinaendesha uchumi kwa rasilimali za congo
Hawa DP wamewekeza nchi 80 ina maana hizo nchi hazina wasomi? Mbona migodi wamewekeza wazungu haina kelele kama DP? Au hapa tatizo ni Sheikh au muwekezaji? Mbona Tiss hawakulaumiwa na ufanisi wao ulikua wa hovyo? Tunachotaka ni maendeleo haina haja ya kusema mwarabu au ni mzungu cha muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.