...Nauza Dish la Zuku na Decoder yake imetumika kwa muda wa miezi mitatu tu... Bei ni elfu hamsini (50,000).. Nipo Dar es salaam... Unaweza kunicheck kwa number 0713 590607.. shukrani
....Kiwanja kinauzwa Kigamboni Kibada Square metres 1000 Fully documented yaani kina hati kamili... Ni kizuri sana. Bei million 25. Ni pm kwa maelezo zaidi
..Wanabodi poleni na majukumu.. Msaada kwenye tuta... Hivi ni maduka gani yanauza perfumes Original kwa hapa DAR?...sehemu nilizopita pita naona mchina katawala...Nashukuru
...Nauza makochi(sofa) kitambaa na rangi: Leather nyeusi.. Ni set nzima yaani makochi madogo mawili, kochi la watu wawili na kochi kubwa la watu watatu..Yapo kwenye conditions nzuri sana.. bei ni laki sita (600,000)..kwa anayehitaji anaweza kunipm nikamtumia Picha via whatsup....Namba yangu ni...
For sale:
Passo
Color pink,
T736 DAL
Cc 990,
5passenger seat,
Year 2005,
Insurance: Comprehensive,
Price: 75 million
Number: 0713 590607
Picha zinagoma kuwa attached hapa.. Kwa serious buyer unaweza kunicheck kwenye number yangu nikakutumia via whatsup
For sale:
Passo
Color pink,
T736 DAL
Cc 990,
5passenger seat,
Year 2005,
Insurance:comprehensive,
Km 144865
Last price 7.5 mill
Phone: 0713 590607
serious buyer nipm number nikutumie kwa whatsup
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.