Ni wazo tuu, kwa upande wangu ninafikiri kwa Kodi wananchi wanayolipa, serikali ingegawa copy ya katiba kwa Kila kaya, hi ingesaidia wananchi Kama s wote kujua Haki zao za msingi...nafikiria kwa upande wangu lingekuwa Jambo la msingi,nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.