Swali langu ni kama lilivyo hapo juu, nini maana ya kukonyeza.
Kama wewe ni wa kike ukakonyezwa na mwanaume ni nini kitakuja kwenye akili yako yani utatafsiri vipi konyezo hilo na utajisikiaje na kama wewe ni wa kiume, binti akikukunyeza unaweza ukatafsiri vipi na utajisikia vipi?
Kwenye hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.