KUONGOZA KIUCHUMI kwa taifa lolote hakuhitaji kiongozi mwanasayansi,kwa mfumo huu wa matumizi ya fedha za walipa kodi Kianasa anasa na kutowekeza kwenye miradi ya maendeleo,afya na elimu, ufisadi uliopitiliza unaofumbiwa macho,kubebana,mikataba mibovu na isiyo na masilahi kwa taifa,sera na...
Hilo sio nje ya box,unauza nyumba ya serikali iliyoko osterbey kwa TZS 900,000/= kwa mkopo wa miaka 3,kabla hata hajamaliza anaiuza kwa 400,000,000/= na hiyo ni nyumba moja tu,je hio mia na ingekuwa shilingi ngapi? halafu wewe unasema sio issue.huenda na wewe ni sehemu ya wanufaikaji, kama...
No research no right to speak comrade, Iran iko katika 10 bora ya nchi zinazotoa huduma bora za afya duniani, ina madaktari wa binadamu ktk kila fani wa kutosha ,ina vifaa tiba vya kisasa na hospitali zenye viwango, kwa kweli wako vizuri sana, wametumia vyema pato la mafuta kuendeleza...
Teh teh teh, unanikumbusha ile hadithi ya sungura ya sizitaki mbichi hizi.Hivi frankly speaking nani kajiegemeza kwa mwenzake hapo juu, na kwa nini nyinyi CCM mnawashwa sana na UKAWA?, ni kwa vile amewakaria pabaya?.
Wewe na mimi tukiwa aside hatuimpact chochote,kama wenye mamlaka wamevaa miwani ya mbao kuna concensus gani hapo? KWA CCM kuendelea kujiona wana haki zote hawataki si tu kuishirikisha jamii bali hata kuzishirikisha bongo zao.
Tena ni haramu iliyovunda na nashukuru wanainchi nchi nzima wamefurahia kazi inayofanywa na wachache. CCM inaharakisha hii miswada ili wavute pesa za uchaguzi,akili na mawazo yao kwa sasa yapo kwenye kukusanya fedha za uchaguzi tu,wanazani fedha ndizo zitawanusuru wasizame baharini.CCM Jiandaeni...
Tulipofikia hatuwezi tena kaa pamoja na kutoka na mutual agreement kwa sababu CCM inalitumia bunge vibaya kufanikisha maslahi yake,imesahau kuwa tuliowaweka pale ni sisi wanainchi,kwa jinsi mambo yanavyokwenda ni dhahiri shairi CCM wanaiweka rehani nchi kwa maslahi yao .
Wote ni walewale,huyu msekwa imemkera kwa sababu kijana kafichua ukweli, kwa kusema siri ya wanene (baraza la mawaziri). tunaona huku mtaani wanavyogawa madila,10,000/= na kuwadanganya wanainchi kuwa upinzani uchaguzi huu watapata madiwani wa kutosha na si wabunge na Rais.Haya wanayasema kwa...
Jamani tuwaelimishe wasio fahamu kuwa kitambulisho ni mali ya mtu aliyejiandikisha, hakuna mtu wala chama chochote cha siasa chenye haki ya kuchukua kitambulisho cha mpiga kura,.Sheria ya uchaguzi inakataza na yeyote atakayekutwa na voter's ID isiyo yake au anakusanya za watu wengine adhabu yake...
Unalolisema lipo na linafanywa na mabalozi wa nyumba kumi na baadhi ya viongozi wa ccm,nadhani ni mkakati wa ccm kuwahofisha na kuwatisha wanachama wao kwa kuorodhesha namba za kitambulisho ili yafuatayo yafanyike;-
1. Kuwa na idadi ya wanachama wao waliojiandikisha.
2. Kutoa rushwa kirahisi...
Hii ndio tz bwana, hawaheshimu utawala wa sheria wala utawala bora na mambo kama haya hufanywa kwenye nchi hizi maskini kwa maana mawazo ya watawala nayo yapo kimasikini masikini tu,bora liende. Huwezi ona wala sikia Obama akiitisha kikao na Demokrats white house, wala Cameroun akiitisha kikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.