kuna maswali yanahiaji majibu imara hasahasa juu ya hizi teuzi za sasa. Tundu Lissu alitoa mifano yenye uhai kwa nini Paschal Mayala unakuja na hoja nyepesi?
Mkuu, huyo mmoja alyeajiriwa kaajiriwa ili kutimiza matakwa ya mkataba wa kujiuzuru, kwa kuwa Hilo ni sharti alilotowa wakati anakubali ushawishi wa Dallas.
Nimesoma uzi huu mara kadhaa na nimeelewa kwamba:
1. Dk Slaa anakiri kuwa serikali inahujumu vyama va upinzani kwa kujiiha nyuma ya sheria ya jeshi la polisi.
2. Dk Slaa anakubali kwamba sheria hiyo ni ya kikoloni, na ni mbaya sana hivyo ikitekelezwa sawasawahasa vifungu vya 43 na 44 inatoa...
Bahati mbaya kwa wapenda haki suala hili limegezwa mchezo wa siasa nyepesi. Tuhuma hizi ni za ki jinai hivi kwa nini yule mtu aliemshitaki Lissu na Wachapishaji wa gazeti la Mawio hajaona haja ya kufungua uchunguzi wa kipolisi au mashitaka mahakamani? tuache mzaha tutende haki,
Angalau umesema na moyo wako umetulia kama yule naibu spika wa ubunge wa kupendwa na Rais. Lakini, kwa heading yako no kama unafanya comparison baina ya Mashinji na yule nahodha aliyeogopa mawimbi akajitosa baharini, sasa kama hivyo ndivyo ili kuthibitisha hosia zako njoo na maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.