Search results

  1. M

    Rais Samia ameonesha udhaifu mkubwa; sasa itaonekana kesi dhidi wapinzani zina mkono wa Serikali

    Kwa Ushahidi ambao ulishaandaliwa na Kibatala&Co, Serikali ingetafuta pa kujificha, na isingepaona! Wala sio viongozi wa kidini waliosababisha aachiwe huru! Viongozi hawa wametumika tu ili kuwa kijisababu lakini Serikali imeogopa kuvuliwa nguo hadharani!
  2. M

    Mashahidi wa Utetezi kutoka Ndani na Nje ya Nchi kwenye Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake watatu wawasili Dar es salaam

    Mbowe ataonekana ana hatia kwa kulazimisha, atafungwa, na hatimaye ndipo mama yetu mwenye huruma atamsamehe labda kwenye sikukuu fulani hivi ya kitaifa!
  3. M

    Serikali iwe makini, join the chain inaweza kuwa mkakati wa kutakatisha fedha chafu na kuziingiza katika mfumo rasmi

    Mie nshalipia elfu 12 na elfu 3 za kutolea ili nimalizane na Chama langu kwa mwaka mzima!
  4. M

    Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"

    Amesema msiogope kwa kuwa hakuna atakayefwatwa nyumbani kwake kudaiwa!
  5. M

    Tanzania, siding with UAE firm, plans to evict Maasai from ancestral lands

    Karl Peters aliyenunua nchi ya Tanganyika kwa Mangungo alikuwa Mjerumani! Huyu wa sasa aliyenunua Loliondo na sasa anataka kuongeza Ngorongoro ni Mwarabu! Historia haitakiacha kizazi hiki salama! Ila Mangungo wa sasa ni nani?
  6. M

    Kesi ya Mbowe: "Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma" hapo ndipo tulipofika!

    Labda kwa ushahidi unaokuja. Hadi sasa hakuna ushahidi wowote unaomtia Mbowe hatiani!
  7. M

    Nape Nnauye: Kiroboto ulishindwa akiwepo godfather, utaweza leo?

    Hii ndio hali halisi ndani ya CCM kwa sasa! Wapo vipandevipande vinavyohasimiana! Mwendazake alikimaliza chama kabisa bila kujua. Tutaona na kusikia mengi bado!
  8. M

    January Makamba unaturudisha Misri

    Makamba alikuwa mpinzani mkubwa wa mradi huu tangu uanze. Kigezo chake kilikuqa ni uharibifu wa mazingira. Inapokuja sababu yoyote inayokwamisha mradi usiendelee, huwa simuamini Januari kabisa!
  9. M

    Tanzania yatajwa miongoni mwa nchi kumi bora Afrika kwa uwekezaji. Tarajieni mafuriko ya wawekezaji

    Ila Tanzania kuna magaidi hata wapo mahakamani. Si salama kwa wawekezaji!
  10. M

    Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

    Kesi ya Mbowe ni mpango wa Mungu ili kufunua yote yaliyofunikwa. Kwa mfano mpaka kesi iishe tutakuwa tumejua idadi kubwa ya vikundi vya wale wanaoitwa "WASIOJULIKANA!" ambao hata Polisi wanasema hawawajui. Tumeanza kujua nani wanakamata watu, kuwaficha, na kuwaua!
  11. M

    Siku ya Demokrasia Duniani (2021): Rais Samia azungumza na Wanawake wa Tanzania, jijini Dar es Salaam

    Atakuwa mgombea dhaifu haijawahi kutokea. Kuna mpasuko mkubwa ndani ya CCM na kila siku anauongeza. Kwa vyovyote hatakubali Katiba mpya wala Tume huru ya uchaguzi. Ukatili wa Polisi atauongeza na itakuwa silaha yake kuu. Fikirieni ukombozi kwa njia nyingine lakini si hii ya demokrasia ya uchaguzi!
  12. M

    Kiburi cha Polepole kimefika mwisho

    Unataka asiseme ukweli ili kuficha uozo wa chama?
  13. M

    CHADEMA kukataa mualiko wa NEC wakati wanasubiri mualiko wa Rais Samia ni kichekesho

    Ningewashangaa sana Chadema kama wangelikwenda huko wakati anayewaalika ndiye anamshikilia Mwenyekiti Mbowe!
Back
Top Bottom