Nyie ndio huwa mnakuja na story za kijiweni nenda ujifunze tamaduni za wamasai vizuri kuishi na wanyama pori miaka na miaka kama huwa wanakula nyama pori. Ndio uje utoe comment
Hii ndio unaona ni tatizo na ukaijengea na mada kabisa. Nikajua jamaa kaharibu kwenye protocal za kibalozi kumbe ni maisha ya mtu binafsi. Leta zile mada za kuruka na ungo ndio nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.