TOYOTA IST ya mwaka 2003 used lenye namba T ###CCY white colour ipo kwenye hali nzuri bei mil 11 maelewano yapo kidogo more info Pm ntakupa namba za mawasiliano incase ukitaka kuliona sorry kwa nyie mtakaoomba picha hapa for serious buyer only
Shenz zenu wote mlio na miwazo michafu hamna mnunuzi anaeongea na miroho yenu michafuuuuu mfyuuuu simu zote nshaunza tena kwa watu wenye nia c wababaishani wenye nia ya kukosoa kweli naamini watu wenye uchungu wa maisha mpo wengi na sehemu pekee ya kumaliza hasira zenu ni humu JF thanx to all...
Sasa wewe sijakuelewa maana ako c ubandike tangazo lako shida yako nini usiwe kama ujui kuandika tangazo mfyuuuuuuuQUOTE=millide;5876440]wadau mi nnazo tena bei nzuri tu ni used bt in good condition, blackberry 9300 bei 150000, blackberry 9700 bei 230000, iphone 3gs bei 260000 nitumie sms au...
No ya simu haijawekwa hapo on purpose coz of lunatics like u utataka kuchezea upige uulize wakati hata cent una mfukoni unavuja jasho la kwapa and for ur info Tz hakuna T mobile hiyo curve na samsung c za hapa na bold nlinunua hapa nauza simu zote coz my time to go imewadia so ntaenda na simu...
Kama wewe ni Kibaka unadhani wote vibaka kwanini ufikirie huko eti zimepigwa mahali sio? Peleka ujinga wako huko kwanza kwanini u comment hata hela ya kununua huna
Hata mimi aliniuliza kama nimeolewa nkamwambia hapana ila nina mchumba ambaye tunakaribia kufunga kufunga Ndoa akaniambia sawa and yet wamenialika for training na email wamenitumia hapa nasubiria waseme venue ya training
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.