Sawa lakini huoni hio mbinu ya kumuonesha silaha yao sio silaha kwako ni kama ushindani? Maana yeye kukunyima duduz anakuonyesha ana haki ya kufanya hivyo sasa na wewe ukilipizia tena...huoni tayari ni mashindano tayari. Anyway kila mtu na uelewa wake. Kwa mimi binafsi ukinionyesha mashindano...
Wanafanya hivyo maana wanajua kuna wanaume wapumbavu na malimbukeni ya kushawishika. So hapo wajinga ndio waliwao brother. Ukitembea katika muongozo wa kimungu yote hayo kwako ni bure tuu. Nautaweza epuka vishawishi vyote. Chaguo ni lako. Upo hapo.
Nashukuru mtoa point kwa kweli hata mimi ningefanya hivyo hivyo...then baadae au siku nyingine nacheck mood yake ikiwa happy naongea kwa upole na hekima. Dawa ya moto ni maji. Kama ingekuwa moto basi huo moto kwamwe hutozimika. HEKIMA ni jibu la kila jambo.
Ha ha ahaaaaaaa Tized, ukinionyesha hivyo naishia kwenye mchepuko tuu tuone nani zaidi. Then baada ya hapo ndoa chali. Unapoamua kufanya wisdom (hekima) fanya na sio kwa mashindano.Iwe kwa mke au mume. Things have to balance!
Asante sana, yani umu ndani watu wangekuwa nabusala kama zako...nadhani ngoja mamaa aondoke ndio ataelewa bivu na bichi ni ipi. Hao malaya wake wanambabaisha atajuta siku ya siku. Hivi sijui miwanaume ina nini wajamani.
Umu ndani kila mtu anahuru wakuongea...kama ni jukwaa na -ME na KE pekee basi admin tangaza lasmi. Rainbow inahusika kwa wengi so msilete maswali mengi, nadhani hoja zenu za kimsaada ndio zinahitajika.
Asanteni
Rainbow
Mme wangu nampenda sana, namfanyia kila kitu kama mwanamke. Mimi ni mama wa nyumbani. Sina kazi sio kwamba sipendi kufanya ila ni kwasababu sijapata tuu mpaka sasa.
Mume kapunguza mapenzi sana kwangu, najihisi hata atakuwa na mwanamke nje. Yani hana mda na mimi, hatutoki out kama mwanzoni...
Jamani za kwenu wapendwa,
Eti ma group ya matangazo ya facebook ambayo yapo juu kwa kutangazia biashara yako ni yepi? Naombeni orodha please.
Asanteni.
Hebu waambie tena mwanamke akiamua mushindane mwisho wasiku mwenye faidi ni yeye mwanamke...Hivi kwa nini wasijiulize hilo swali. Maana mwanamke anaweza kulala na watu zaidi ya kumi kwa siku na analipwa...je wewe mwanaume na mie ulale na kumi uwezo upo! na mfuko unaruhusu? Fikirini kwa kina.
I said it yesterday watu wakanijia juu haya oneni wenyewe kaja mwingine na issue ile ile tena bora na ya kwangu!. Ngojeni yawapate ndo mtajua chai ya rangi ni nyeusi au brown! Too too too sad. Pole sana ndg yangu yani haya mambo yanachanganya kweli. Watu hawatuelewi. Yani hata admin akituangalia...
Hapo bado sana itaendelea tuu michepuko. Ntaiacha office then naenda kushughulika narudi kuipick then naenda home. Waambieni hao matekenelogia wafikiri kwa kina zaidi.:israel:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.