Wakuu naombeni msaada wa jina la ile application unayoweza kuitumia kubaypass apps nyingine kuzifanya ziwe premier. Mfano app ya winning gang ukiitumia hiyo app unabypass na unapata premier tips. Nilikuwa nayo ila ni mda sana nilirestore simu na jina lake limenitoka
Sent using Jamii Forums...
Wakuu naombeni msaada,nataka kutoa pesa kwenye akaunti yangu ya melbet,ila option ya kuwithdraw naona kuna voda tuu. Vipi nyie mtatoa kwa mtindo gan. Maana kudeposite inaonekana kuna tigopesa na airtel money
Habari za humu wakuu. Naombeni kuelekezwa jinsi ya kufanya deposite 1xbet kwa njia ya MasterCard. Nina kadi ya MasterCard ila sijafanya utaratibu wowote
Mambo vipi wakuu? Huwa naambiwa kuwa kuna bonus nimepewa katika 1*bet ila hiyo pesa siionagi katika akaunti yangu ukiacha salio langu la kawaida lililopo. Huwa inatakiwa nifanyeje ili niipate?
Hao supabet hata sitaki kabisa kuwaskia,process yao ya kutoa pesa sijawahi kuielewa. Kuna cku nilikuwa natoa pesa walinizingua na baadae agent wa dsm niliyewasiliana naye ile pesa aliitoa kwenye akaunti na alikoipeleka asee sijui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.