Search results

  1. Madagiz

    Application nzuri ya kuhack paid apps

    Wakuu ni application gan nzurinaweza kuitumia kuhack hizi paid apps mfano za betting,ukiachana na Luck patcher?
  2. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hata mm ndio nilichanganyikiwa hapo,maana kwwnye basketball sijawahi kuina hiyo kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Thnx mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu naombeni msaada wa jina la ile application unayoweza kuitumia kubaypass apps nyingine kuzifanya ziwe premier. Mfano app ya winning gang ukiitumia hiyo app unabypass na unapata premier tips. Nilikuwa nayo ila ni mda sana nilirestore simu na jina lake limenitoka Sent using Jamii Forums...
  5. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu nachuchek inbox inakataa,vpi napataje laini Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mm paok ndio kaniumiza jana. Vpi hizo zote direct win zinatoa mkuu.! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Laini.zinapatikanaje wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kampuni gani mkuu ilikuwa na odds hizo? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kampuni gani hii mkuu,wanayoweza hizi mechi? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi humu ndani kuna mtu ameshafanikiwa kuwithdraw pesa toka kampuni hii?
  11. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nilitaka kutoa elfu 10 ndio majibu yako hivi wakuu
  12. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu naombeni msaada,nataka kutoa pesa kwenye akaunti yangu ya melbet,ila option ya kuwithdraw naona kuna voda tuu. Vipi nyie mtatoa kwa mtindo gan. Maana kudeposite inaonekana kuna tigopesa na airtel money
  13. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari za humu wakuu. Naombeni kuelekezwa jinsi ya kufanya deposite 1xbet kwa njia ya MasterCard. Nina kadi ya MasterCard ila sijafanya utaratibu wowote
  14. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mambo vipi wakuu? Huwa naambiwa kuwa kuna bonus nimepewa katika 1*bet ila hiyo pesa siionagi katika akaunti yangu ukiacha salio langu la kawaida lililopo. Huwa inatakiwa nifanyeje ili niipate?
  15. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hao supabet hata sitaki kabisa kuwaskia,process yao ya kutoa pesa sijawahi kuielewa. Kuna cku nilikuwa natoa pesa walinizingua na baadae agent wa dsm niliyewasiliana naye ile pesa aliitoa kwenye akaunti na alikoipeleka asee sijui
  16. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwema humu jukwaani jamani
  17. Madagiz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni kweli mkuu,maana hata kwangu naona 0:0 ila wameniwekea lost
Back
Top Bottom