Search results

  1. MAPUMA MIYOGA

    Makao makuu ya wilaya ya Iramba, Mwigulu anahusika

    Kuna sababu nyingi za maana kuhamisha makao makuu ya wilaya kutoka kiomboi kwenda misigiri! ni mwenye nia ovu na iramba tu ndiye atakayepinga wazo hili!
  2. MAPUMA MIYOGA

    Makao makuu ya wilaya ya Iramba, Mwigulu anahusika

    Ghorofa Misigiri liko eneo gani mkuu! Huko ni home na sijawahi liona?? Watz tunalishana sana matango pori!
  3. MAPUMA MIYOGA

    Mwigulu yupo sahihi, kipato cha mtu kinapoongezeka na matamanio yanaongezeka

    Ukakope wewe kwa upuuzi wako halafu umlalamikie Mwigulu?? Nchi ina watu wa ajabu hii!.
  4. MAPUMA MIYOGA

    Je, kuna uhakika wa Mwigulu Nchemba kurudi Iramba?

    Mwigulu ndio chaguo letu sisi, nyie wa mbali mtuache. Nikifananisha mabadiliko ya kiuchumi kwa wakati wa nchemba na hao wengine bado naona mwigulu kawafunika wengine na bado atakuwepo.
  5. MAPUMA MIYOGA

    Singida ina miaka 60 lakini imepitwa kimaendeleo na Watoto wadogo akina Njombe, Songwe, Katavi na hata Simiyu!

    Nauliza! wapi huko TZ ambako pameendelea! Kuwa na vigorofa viwili vitatu ndio mnaona maendeleo, wakti hara singida hivyo vigorofa vipo. Your mind is dead if you discuss these nonesenses!
  6. MAPUMA MIYOGA

    Singida ina miaka 60 lakini imepitwa kimaendeleo na Watoto wadogo akina Njombe, Songwe, Katavi na hata Simiyu!

    Umeandika upuuzi tu, nikizunguka huko kote naona tz iko sawa tu na maeneo mengine ni bora hata Iramba. Hoja yako ni ya kibaguzi tu na haina critical thinking! Na pengine mnaona wivu tu kwa sababu kuna mtu mnamlenga!
  7. MAPUMA MIYOGA

    Who is Mwigulu Nchemba?

    Iza mukulu! Uyugai kwaso!
  8. MAPUMA MIYOGA

    Who is Mwigulu Nchemba?

    Sisi iramba tunajua!
  9. MAPUMA MIYOGA

    Rais Samia Suluhu Hassan, muondoe Mwigulu

    Mtafute wa kwako, ila Dr. nchemba ndio wakati wake
  10. MAPUMA MIYOGA

    Kwanini Mwigulu peke yake?

    Ukaskazini hatuutaki. Dr. nchemba ndio waziri na ndio nguzo ya uchumi wa tanzania kwa sasa
  11. MAPUMA MIYOGA

    Kwanini Mwigulu peke yake?

    Watwambie pia kama Dr. mwigulu Nchemba alifanya maamuzi peke yake bila ridhaa ya baraza la mawaziri wala bunge kupitisha. Mwigulu anasimamia kile kilichokubaliwa na wengi ndani ya ccm, baraza la mawaziri na bunge.
  12. MAPUMA MIYOGA

    Hii inaweza kuwa ni sababu kwanini tuko nyuma karibu kwenye kila kitu hata ndani ya Bara la Afrika

    Halafu hawana mchango wowote kwa taifa ni makelele tu. zaidi ni wizi tu na kulazimisha kila project ifanyike moshi.
  13. MAPUMA MIYOGA

    Rais Samia Suluhu Hassan, muondoe Mwigulu

    Mwigulu ndio nguzo ya uchumi wa Tz kwa sasa. Na kodi lazima tulipe. Sema tu kaskazini ndio wanaendesha hizi siasa za maji taka kwa sababu ya tamaa ya uwaziri
  14. MAPUMA MIYOGA

    Rais Samia Suluhu Hassan, muondoe Mwigulu

    Acheni wishful thinking za kijinga na kuona kaskazini tu ndio wanafaa kuwa mawaziri.
  15. MAPUMA MIYOGA

    Gazeti la Mwananchi..'Mwigulu anafanya Kile Alichokikataa Kwa Wengine' Makala inamhusisha na Hujuma kwa Rais.

    Kaskazini mnaendelea kusotea Uwaziri! Leteni hja za maana. Sio lazima kila awamu muwe na waziri wa fedha. Zamu hii ni Iramba.
  16. MAPUMA MIYOGA

    Hii inaweza kuwa ni sababu kwanini tuko nyuma karibu kwenye kila kitu hata ndani ya Bara la Afrika

    Hoja ya mwigulu haikuwa uelewa huo. Mazingira ya kujifunzia Arusha na moshi ni tofauti na Iramba, na hata wingi wa shule pia, hio haiwezi kuwa sababu eti kwamba wao wana akili. Iramba ina heshima yake nchi hii ukitulia utaelewa tu. Sema tu nyie watu wa kaskazini mnajikweza sana na ndio maana...
  17. MAPUMA MIYOGA

    Hii inaweza kuwa ni sababu kwanini tuko nyuma karibu kwenye kila kitu hata ndani ya Bara la Afrika

    Kaskazin imepiga hatua kwa sababu ya wizi na ku-relocate fund ya taifa kwenda kufanya maendeleo huko. Mfano Kaskazin hakuna hata mgodin wa maana ila watu wanachukua pesa za CSR za bulyanhulu mine kwenda kujega chuo Moshi, hapa ndio kaskazini ilifanikiwa.
Back
Top Bottom