Search results

  1. M

    Je, Unawafahamuje Hawa Wanasiasa?, John.Cheyo, F.Dovutwa Na Augustin Mrema

    Dovutwa, Cheyo Na Mrema Ni Wanasiasa Wasiotabirika Kimsimamo, Hawa Ni Viongozi Wa Vyama Vya Siasa Ambao Ni Wakipekee Leo Wapo CCM Kesho Upinzani, Huwezi Kuwatofautisha Na Popo Au Kinyonga, Kwa Yeyote Anayewajua Vizuri Atujuze Tafadhali.
  2. M

    TUJADILI: Swali Langu Rahisi Kwa Wana CCM Wote

    Wakati Wa Uhai Wake Mwl.J.K.Nyerere Katika Vipindi Tofauti Wakati Wa Mikutano Ya Kamati Kuu Ya CCM, Mwalimu Aliyakataa Majina Ya Wagombea Walioomba Kupitishwa Kugombea Uraisi Kwa Tiketi Ya CCM, k.v. Jumanne.J.Malecela, EL, JMK, Na Wengineo, SWALI, Je Mwalimu Alikuwa Na Maono Gani?, Je Alikuwa...
  3. M

    Sababu 25 Za Kutoichagua CCM Mwaka 2015

    Sababu Zifuatazo Lazima Ziiondoe C C M Madarakani, 1. Kusababisha Uchumi Wa Nchi Kuwa Duni Kwa Zaidi Ya Miaka 53 Tangu Uhuru 2. Kusababisha Bajeti Ya Nchi Kuwa Tegemezi Kwa Zaidi Ya 60% Kwa Miaka 53 3. Kusababisha Deni La Taifa Kuraise 4. Kuuza Raslimali Za Nchi Kwa Kisingizio Cha...
  4. M

    Kumekucha Rombo, kada maarufu Evod Mmanda atangaza nia ya kutwaa Ubunge jimbo la Rombo

    Kumekucha haya haya, Tayari kada huyo ameshatangaza nia ya kuwania kiti cha ubunge kupitia chama tawala CCM mapema, kwani jimbo hilo inaonekana mbunge wa sasa ameshalitelekeza na haonekani tena Rombo eti yuko bize Dar na Dodoma katika vikao vya kamati za bunge, ziara za kamati nje ya nchi na...
  5. M

    Kinana akutana na madudu ya ufisadi ukarabati wa hospitali ya rufaa Kitete Tabora

    Kinana acha kuwalalamikia watendaji na waziri wa afya...kwani waziri huyo ni wa CCM ambaye wewe ni katibu wake.. Hivyo kama wizi umefanyika hakika wewe na CCM yako mnahusika. mnatakiwa kuwajibika
  6. M

    Angalia uozo wa huduma za afya Tanzania Huruma Hospitali - Rombo

    Ni hivi punde nimepishana na wagonjwa wanahitaji matibabu hapo Hospitalini lakini cha kushangaza wameambiwa waende kununua glovus kwanza ili wapewe tiba jiulize mtanzania. Hospitali hii huwa inapata mgawo wa fedha za ruzuku ya basketi kutoka serikalini zaidi ya tsh. 200,000,000 kila mwaka...
  7. M

    Mwanafunzi wa Ungwasi sekondari Rombo afariki dunia kwa uzembe wa viongozi

    Mwanafunzi wa sekondari huko Wilayani Rombo amefariki Dunia wakati akifuatilia maji ya kuoga katika korongo la mto Ungwasi lililopo jirani na shule hiyo inayomilikiwa na kanisa katoliki dayosisi ya Moshi. Hii pia imesababishwa na uongozi dhaifu kwani shule hii ni ya private na inauwezo wa...
Back
Top Bottom