Search results

  1. Zakumi

    Kwanini tunateseka kwa kuendelea kutumia Kiingereza kama lugha ya kujifunzia?

    Siri kubwa ya kuelewa lugha ni mazoezi ya lugha na mapenzi ya lugha hiyo. Shule niliyosoma pamoja na kutumia lugha ya nchi yao kwenye kila kitu ilihimiza wanafunzi kuchukua lugha za kigeni. Na wanafunzi wengi walichukua kiingereza, kijerumani, kifaransa na kufanya vizuri tu. Kwa maoni yangu...
  2. Zakumi

    Ali Hassan Mwinyi : Mzee rukhsa Safari ya Maisha Yangu

    Autobiography is subjective...just saying
  3. Zakumi

    Kwanini tunateseka kwa kuendelea kutumia Kiingereza kama lugha ya kujifunzia?

    Hoja unayotoa ni ya msingi sana. Sasa tukirudi kwenye lugha ya kufundishia. Nadhani hili mtu aweze kuelewa vizuri mafundisho darasani ni lazima kuwepo na kiwango fulani cha lugha alichofikia. Sisi tuliowahi kutoka nje ya Tanzania na kusoma katika lugha za kigeni. Tulitumia mwaka au zaidi...
  4. Zakumi

    Ali Hassan Mwinyi : Mzee rukhsa Safari ya Maisha Yangu

    Sasa unamchagulia mtunzi kipi aseme...
  5. Zakumi

    Kwanini nchi ya Rwanda imeendelea kuliko Mkoa wa Kagera?

    This is an excellent observation. And for those in favor of the decentralized government, they can apply a comparative analysis like this one to make a compelling argument. Rwanda is a sovereign state. As such, structurally the government of Rwanda is set up to tackle a number of important...
  6. Zakumi

    #COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

    But but but steam inhalation works very well in India. Besides, India has got fantastic herbs such as turmeric, garlic, cinnamon etc etc etc. How is that working?
  7. Zakumi

    Je, Huyu Mkalimani Ramazani hajui kusoma? Kwanini aliweka dole gumba?

    Hile mikataba ilikuwa haina maana yoyote kwa waafrika. Kabla ya mkutano wa Berlin walitakiwa kuonyesha ni sehemu gani wajerumani, waingereza, webelgiji na wafaransa wamekubaliwa na watawala wa kiafrika kutawala. Na kuna sehemu walichonga mikataba ya uongo hili kuzuia wazungu wengine wasiingie...
  8. Zakumi

    Historia ya Tanzania

    Mbona hututendei haki bhana. Yaani historia yetu ni paragraph 10 tu utafikiri tumebuni nchi juzi tu.
  9. Zakumi

    #COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

    Guys do you Know why I am back? That's right. Tell me what is going on in Tanzania? Is the president still in the country?
  10. Zakumi

    #COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

    They are hypocrites. If my memory serves me correctly. Trump supposedly refused to take the vaccine because he was immunized after he contracted and survived the disease. Fast forward, this week it was revealed that he was the first in line to received immunization, albeit secretly. It won't...
  11. Zakumi

    #COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

    It might be on those lines. The guy who discovered the counterceptive therapy did his research work in Puerto Rico even though he was from the US. In Puerto Rico, regulations aren't tight. Besides, it was cheaper.
  12. Zakumi

    Taifa hujengwa kwanza katika mahusiano ya watu. Na mahusiano hayo yanapobomoka ndio mwanzo wa vita, vurugu na fujo

    I think at some point our colonial masters realized that colonizing a group of people is a mammoth undertaking. So they came up with a brilliant idea. They give us independency, but they retained the economic means.
  13. Zakumi

    #COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

    We have decided to follow liberal democracy. In that type of democracy, there's a price to pay in order for it to work as intended. in short, the government should tolerate criticism regardless whether the criticism levelled against it is justifiable or not. For example in America there are a...
  14. Zakumi

    #COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

    What cure are the chemical compounds in the plants. So if you take into account soil nutrients, sessions, and local environments, plants of the same kind might not yield the same amount of chemical compounds per unit. I think this is something we should be looking if we think that herbs can...
  15. Zakumi

    Ninavyomkumbuka Maalim

    Jokakuu; Kuna mama mmoja anaitwa Carly Fiorina. Kuna wakati alikuwa ni CEO wa HP. Anasema kwenye diversity issue, viongozi wanaongalia circle zao tu au network zao, mara nyingi wanashindwa kupata watu ambao wako nje circle na network zao. Hivyo unapoona kuna mapungufu ya diversity, lawama...
  16. Zakumi

    #COVID19 COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from Tanzania how to fight against the Corona Virus?

    Suppose you support the use of vaccine in Tanzania. Where's the vaccine? Can a regular person or any person for that matter visit the clinic and get one? Is vaccine effective for the type of variant which is prevalent in Tanzania? Does the government has the money to buy the vaccine? I think...
Back
Top Bottom