Baada ya kuhesabu kura.mawakalana wasimami watatangaza na kubandika matokeo kituoni.swali??WANAMTANGAZIA NANI IKIWA PALE NJE HAMNA WATU??WANABANDIKA YA NIN KAMA WATU HAWARUHUSIWI KUYAONA NA KUYASOMA??
Lowasa.. Ndiye Rais ajaye.. Jifariji tu na akili zako ndogo Za kutumiwa. LOWASA hawez kukubal kutumiwa kama njia yakumpa ushindi. Magufuli... Yeye mwenyew anautak urais na watanzania wanaobadilika wamesema Yes
Akimbie chadema ndio akimbilie ccm?? Kama sio unafiki ni nin.. Mimi nampenda hata yeye ndio inspirational factor kwangu.. Ila nimempuuza.. Ni Sawa na kuandaaa pilau la nyama Safi afu ufike wakat wakula ulitie mchanga na mafuta ya taa.. PILAU HALILIKI TENA JUHUD ZOTE ZA AWALI ZINAGEUKA KUWA...
Unataka Rais mtawala jukwaa kwann uspende kumtafuta huyu mtu kwenye maharusi na kitchen part?? Kabla hujaropoka jitafakari.. Wee need a super leader talking much for nothing is worthless my dear
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.