Freed Freed,
1. Mkoa wa Arusha.
Jimbo la Arusha mjini wagombea kupitia CCM ni Monabana au Philimon Mollel, RC Mrisho Gambo na mfanyabiashara mmoja mwenye asili ya Asia. Wengine wakiongezeka nitawajuza.
Jimbo la Arumeru Magharibi ni Stephen Zelote, Daniel Ole Njoolay, Elsa Mollel (Mbunge wa...
Jamaa anapinga zamu ya Zanzibar lakini anapigia debe zamu ya Wakristo. Kama ilikuwa sawa kuondokana na mfumo wa zamu za pande za muungano mwaka 2005 haiwezi kuwa dhambi kuondokana na mfumo wa zamu za dini ya mtu. Hivi mbona vyama vingine havijawahi kufuata zamu hizo?... Siasa za maslahi bana!
Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa Twaweza ni kwamba mkuyati ya UKAWA haujaweza kuongeza nguvu ze zanu kisiasa! Watanzania walipoamka hawajamka kuona usani wa CCM pekee bali wanatambua usanii wa kila upande... By the way kama msingi wa nguvu za mkuyati wa UKAWA ulikuwa katiba mpya, ni asilimia...
Kwa akili na fikra kama hizi halafu mnashangaa kwanini watanzania bado hawakubali kuwapa imani yao zaidi ya kuwaachia mfaidike na hasira dhidi ya CCM pekee? Watanzania wanatafuta mabadiliko ya dhati sio bora mabadiliko ya "our turn to eat" yanayojionyesha kuja na upepo wa CHADEMA...
Interesting... Kwa hiyo Peter Kibatala ndio unajiita Kilaza? Kwanini sasa hutumii jina lako kwa kujiamini na kuachana na ulaghai mitandaaoni? Au ndio umethibitisha ukilaza?
Na huyu naye ni kamanda wa jeshi la ukombozi.... Sasa kama fikra zenyewe ndio kama hizi sijui nani anahitaji ukombozi. Nadhani kwanza angeanza kujikomboa yeye kifikra halafu ndio aweze kuwapigania wengine. Ukombozi unaohubiriwa na fikra dumavu kama hizi ukombozi wa maharamia pekee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.