tatizo si video naongea na evidence sio magazeti wala nini nyinyi wanajamii forum msibaki kutukana tu ila mtoe hoja za msingi ili tuwajibu kwa hoja me mwanaharakati wa kujitegemea sina chema wala nini nipo me kama me
upumbavu wenu wa kishabiki ukichanganya na ujinga mnapata majibu yenu kwamba uko wapi nyinyi washabiki tu! walaji wengine huo ndo ukweli, subiri nina waraka wa kikao cha siri kilichofanyika kwa Mtei ndipo utaamini nini ninachomaanisha soon nitaweka hewani kwa utaratibu nyie si akina Thomaso?
aka mkosa chama tatizo la Watz tunashabikia tusilolijua kwani hamjua vita iliyopo cdm? kama hamjui hicho chama cha wachaga mtadanganyika mpaka lini fuatilieni mtaona au ni chama cha mzee Mtei
Jamaa kaeleweka tatizo viongozi wa kisiasa wanaongea tu maeneo ya mijini na kusahau vijijini kwamba kuna watu M4C wanafahamu walio mjini na wenye uelewa kuhusu mitandao ya kijamii upo hapo
thanx
Serikali nayo ishakuwa ya ajabu kwanini wamwogope Dr Slaa kwani yeye amekuwa nani? Slaa ni harage katika chungu cha maharage haina haja ya kumwogopa. Mpelekeni mahakamani huyo hana lolote huyoooo!
Halafu ndo kiongozi anategemewa Mfisadi mkubwa!
msianza kuuliza kwamba chama gani ishu ni kwamba anachokiongea kinaukweli au vip? ukweli ni kwamba viongozi wa ngazi ya juu wamebaki kuropoka tu kwani naona kwamba wamekosa dira. Hata mie nina waraka wa siri wa chama cha Chadema wa kikao cha siri kilichofanyika kwa mwasisi wa chama Bw Mtei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.