2025 tutaona wagombea wa CCM wakipitishwa wao tu kisha siku ya uchaguzi ajapigiwa kura yy tu,sasa hii ina tofauti gani ya kupita bila kupingwa?
Akipigiwa kura yy tu DED atamnyima kutangazwa?
Mnajidanganya sana watz,CCM ingekua na nia njema ingeondoa mchskato mzima wa uchaguzi mikononi mwa DED...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.