MWALIMU J.K.Nyerere alishatuasa kuwa ni vyema kukaa mbali sana na Mmarekani. Katika miaka ya hivi karibuni tumeona juhudi kubwa za kuikurubisha Tanzania kwa Marekani na uongozi ulioko madarakani.
Ninachojiuliza ni, je, hofu za Babu sasa hazina msingi? Hata mwanae Benjamin Mkapa naye...
Hapana,
Tatizo sio muungano ila viongozi wasioona mbali na m bele. Soma shairi langu hapa chini:
Laiti nchi ingeliwa
Laiti nchi ingeliwa, nami nisingelala njaa,
Iwe ya utamu wa muwa, au ukali wa chang'aa,
Nami nisingechelewa, cha kwangu kujimegea,
Nisingelilala njaa, laiti nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.