Mimi mwenyewe namshangaa huyu Gustanza jinsi anvyojaribu kumfananisha Nyerere na Sankara. Huyo Sankara mwenyewe alishaanza kuwa Mugabe wa enzi hizo tushukuru tu wajanja walimuondoa mapema.
Babu, haya unayoyakomalia hapa na kusema je tutakubali mahakama nayo imsafishe sijui umeyatoa wapi. Mkapa sio fisadi. Hata kama angekuwa, bado ana kinga kama rais mstaafu. Labda katiba ikibadilishwa kitu ambacho sioni kama kinawezekana kwa siku za hivi karibuni.
Please sign my autograph. Maana wewe ni FDR.junir kweliweli. Point nzuri kabisa maana inaonyesha wazi kuwa Mkapa ameisha hukumiwa hapa JF long time ago.
Ubinafishaji sio kitu kibaya babu tatizo ni njisi serikali yetu inavyojiingiza kichwa kichwa. Dunia inasonga mbele.Ukitegemea kuwa sera za ujaa zitakuwa na nafasi huko tunakokwenda, unakosea sana.
Mimi mwenyewe nisinge apologize kama huyu jamaa alivyofanya. Hilo ndio tatizo la watanzania hatutaki kabisa watu waungwana. Wale wanaokumdania huyu jamaa sijui lengo lao ni kumtaka aseme nini ili wafurahi. BongoTz usikonde babu umesamehewa na wanakijiji wote wa kijiji cha Lusilile kilichopo...
Hapo umeongea babu. Inasikitisha kuwa muda tuliotumia kumkaindia Mkapa tungeutumia vema kuji-organize na kuhakikisha kwamba Kikwete hatoki nje ya mstari kama Mkapa alivyofanya. Mimi simpendi mkapa kwasababu tu ni chinga boy. Lakini yeye kuibia serikali kidogo wala hainiumi masela. Angalu yeye...
Nadhani huyu BongoTz yuko mbele yetu hatua kumi na zaidi. Kwasababu inaonyesha wazi kwamba kuna game anaicheza hapa ulingoni ambayo sidhani kama kuna mtu ameishtukia so far.
We mgagagigikoko, issue ya radar ni issue complex kidogo. Hata kama angekuwa Nyerere angeinunua hiyo radar whether anapenda ama hapendi. Kumbukeni kuwa baada ya kilichotokea kwenye ubalozi wa marekani mwaka 98, plus matendo machafu yaliyofanywa na madevu huko kiwanja mwaka 2001kulikuwa na...
Mkamap an point jmush1. Tatizo ni kwamba, Tanzania ni mbovu. Wasomi wetu wengi ambao wamekulia, soma na kuzeekea Tanzania (ambao hawajatoka nje ya nchi) wamechangia sana kuliangusha taifa letu. Angalia wewe mwenyewe: hivi kweli utanetemea tutoe vichwa vizuri vya wachumi na ma-injinia pale UDSM...
Mkapa; jiwe linaloelekea kudharauliwa na Watanzania limekuwa jiwe la kimataifa
Na, Padri Kitambo Robert
Rais mstaafu Benjamin Mkapa ni Rais wa Awamu ya Tatu tangu Tanzania ipate uhuru, na ni rais ambaye aliingia Ikulu kupitia mfumo wa vyama vingi. Amekaa madarakani tangu Novemba 23, 1995...
Warioba; Tusiruhusu Kashfa zitugawe
Na Yahya Charahani
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameonya dhidi ya utamaduni wa kuchafuliana majina ulioibuka miongoni mwa jamii kwa kuwa utakapokomaa utasababisha wananchi kusahau mambo ya msingi na kusababisha vurugu.
Akizungumza jana...
Leo hapa kutakucha!
Ndiyo, japo nina serious reservations kuhusu Mkapa, lakini naungana na BongoTz kuwa Mkapa, ni mtu safi ukiliganisha na hao wengine. Mkapa anabebeshwa mzingo mzito hapa. Mtu mmoja hawezi akabadili uozo wa taifa zima kwa kipindi kifupi cha miaka kumi tu. Hata Marekani yenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.