Search results

  1. M

    Siri ya Kikao cha Diallo na Deus Mallya chavuja movie ya Kifo cha Chacha Wangwe

    cha ziada aliongeza dakika 30 ili ampe mchanga nyongeza ya kuweka sawa ujinga wake.
  2. M

    Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

    utumbo at work........, habari ya mjini mbio za uchaguzi chadema washika kasi kila kona nyomi la kutosha bavicha wajitokeza vijana kwa wingi kuchukua fomu.
  3. M

    Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

    mchangaaaaaaaaa!!! naona unatumika kama mpira wa kondom, vp kuhusu jimbo la kibaha mjini ulivyouza, tanapa na leka lutugite?
  4. M

    Leticia Nyerere, John Shibuda (CHADEMA) wajisajili katika Bunge Maalum la Katiba

    sio kujipendekeza tu, pia ni chakula cha lukuviiii.
  5. M

    Vijana hawa watatufaa BAVICHA taifa

    sawa mweusi, mwenye kitu.
  6. M

    Vijana hawa watatufaa BAVICHA taifa

    ben saanane, hana uwezo wa kumiliki jukwaa hiyo ni sifa kuu ya m/kiti tunayemtaka kama alivyokua anaweza heche. Ben mpe dakika tano hawezi kusimama jukwaani lazima aombe kushuka, mtoi sasa ivi ana miaka 32 so hana sifa za kugombea. Nyerere atakua mjumbe wa kamati tendaji.
  7. M

    Vijana hawa watatufaa BAVICHA taifa

    ACT ndio nini?
  8. M

    Vijana hawa watatufaa BAVICHA taifa

    Dan hana sifa sababu sio mzuri katika kujenga hoja ila hua anapayuka kuliko kujenga hoja, pili ana hasira za karibu so ni vema akawa mwenezi kutoka na sifa tajwa hapo juu. Mruta ni mzuri kujenga hoja na strategist na hata ukimtazama vipindi vya kipima joto hua anaonyesha uwezo wake. Hatari nae...
  9. M

    Vijana hawa watatufaa BAVICHA taifa

    siku ya jana uongozi wa vijana taifa wanaotarajia kumaliza muda wao hivi punde wametangaza tarehe ya uchaguzi wa baraza la vijana taifa (BAVICHA) na pia kutangaza kutogombea tena uchaguzi ujao. kwa mtazamo wangu vijana hawa wanatufaa kuongoza jahazi la uchaguzi wa 2015 na hatimaye kushika dola...
  10. M

    Kutoka Instagram: Zitto Amewaka Picha Hii na Kuandika 'Enzi Hizoo"

    kumbe mnyika na zitto hawajakutana njiani. tatizo la zitto ujua wake tu.
  11. M

    Taarifa rasmi ya kuhama CHADEMA na kujiunga na CUF.pamoja na sababu zake.

    Makwilo hana nguvu ya kisiasa kama anavyodai, na ndio maana aligombea 2009 alipata kura 9 mtaa wa muungano.
  12. M

    Taarifa rasmi ya kuhama CHADEMA na kujiunga na CUF.pamoja na sababu zake.

    Makwilo alihujumu uchaguzi 2010 wa udiwani, baada ya kumleta alhaj kabunda kuja kugombea kata na yeye makwilo kwa kua alikua mwenyekiti wa kata alifanikisha kabunda kupita, lakini kiuhalisia walipanga dili. Kwani kabunda toka achaguliwe kuwa mgombea hakuonekana hadi leo na kata ccm walishinda na...
  13. M

    Taarifa rasmi ya kuhama CHADEMA na kujiunga na CUF.pamoja na sababu zake.

    Ally Mkwilo wewe na wenzio ndio uliongoza kuiua cuf na sasa unarudi tena kuiua cuf, baada ya kushindwa chadema.
  14. M

    Katiba ya CHADEMA ipo chini ya kikundi kidogo cha mabwanyenye

    naona kijana unahangaika cdm labda nikujulishe kuhusu makwilo tunayemjua. makwilo amejiunga na cdm mwaka 2008 akitokea chama cha cuf na kisa cha kuhama cuf ni kuwa alipata matatizo ya kuugua na akili (uchizi) na alidai kipindi chote anaumwa cuf hawakumsaidia. mwaka 2009 aligombea nafasi ya...
  15. M

    Ally Said Makwilo ni nani?

    Awali ya yote kabla ya kumjua Ally Makwilo, nataka kuweka sawa kuwa katibu kata wa Manzese anaitwa Habibu Kabelwa na sio Dotto Mhando na kuhusu Ally Makwilo ni katibu mwenezi wa jimbo la Ubungo na kaimu katibu wa jimbo la Ubungo alijiunga na CHADEMA mwaka 2008 akitokea chama cha CUF, na sababu...
  16. M

    Katibu Kata wa Kata ya Manzese (CHADEMA), Bwana Dotto Mhando ahamia CUF

    usahihi, katibu kata ya manzese anaitwa HABIBU KABELWA. na kuhusu makwilo ni alikua katibu mwenezi wa cdm na kaimu katibu wa jimbo la ubungo. alihamia cdm mwaka 2008 akitokea chama cha cuf, sababu za kuhamia cdm kutoka ni kutokana na kutomsaidia wakati alipopata matatizo ya akili. pili...
  17. M

    Polisi wazuia msafara wa mgombea ubunge wa CHADEMA

    tamko la mkuu wa kaya limetoka juzi tu leo utekelezaji umeanza.....yaani hizo juhudi zingekua kwy kukamata wauza madawa wa kulevya nchi hii isingekua ghala la madawa ya kulevya.
  18. M

    CHADEMA isingekuwepo Tanzania hii ingekuwaje?

    kwa kuwa m.a.m.a yako ameipatia mimba ohio unafikiri wote wako ivyo.
  19. M

    Membe,ulifikiri kabla ya kusema?

    na ndio maana twiga wanapanda ndege hakuna wa kubanwa, wauza madawa wanaongezeka hakuna maamuzi magumu, ujangili unafanyika hakuna wa kuchukua hatua, watz wanauana kisa migogoro ya ardhi hakuna wa kufunga paka kengele.
Back
Top Bottom