Wana bodi kitu ambacho nashindwa kuelewa wabunge wa CCM badala ya kuisimamia na kuishauri serikali wao ndio kwaaanza wanaitetea dhidi ya udhalimu wa watanzania
Nchi hii sasa haitawaliki tena,maana mtawala hakai nyumbani na ma-house boy aliowaacha wanabaka na kutumia hovyo vitu vyetu kwa jina la uwaziri,waaaapi baba Mwanaasha, Kusini, Nyanda za juu kusini na Kaskazini kimenuka bado pembe 2 tu ili nchi inuke yote.
:rockon: Hivi safari hii ARUMERU MASHARIKI hawakupewa ubwabwa kama IGUNGA?pole DENJA-MAN MKAA-HAPA kwa kupoteza umaarufu ktk uchaguzi uliokosa maadili,pole MAGAMBA wamepigwa na shoti ya umeme wa MGAO:lol:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.