Za asubuhi waungwana, hivi karbuni nilisikia kwenye radio(sikumbuki ni redio station gani)ya kwamba nchi yetu inareview sheria ya ndoa ili kuwalinda mabinti wenye umri chini ya miaka 18. Naomba kama kuna mdau yoyote mwenye link ya document ambayo naweza kuoan sheria ya ndoa ya Tanzania anipatie...
Jamani, sidhani kama kulipishana kisasi ni jambo jema and sidhani pia kama dawa ya moto ni moto. what i think is that cheating is unacceptable and one should not find any reason to hide behind. when you say i do at the alter au hata mbele ya mashahidi wengine, i believe its best if you keep your...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.