Wadau kuna mdau amesema katika kipindi cha TUONGEE ASUBUHI Star Tv kuwa kazi hazipati watu ila watu wanapata kazi ndo maana kuwa low performance. Imekaaje hii mbona sielewi flani
Nikiwa kama mtanzania ninayefikiri ninaamini kuwa hakuna aliyekamilika na wa kuaminiwa asilimia 100 zaidi ya Mungu peke yake. Mengi aliyosema mzee wetu mpendwa hayati baba wa taifa yanatufaa na yako relevant kwetu na hata kwa kizazi kijacho kisichomjua kitaendelea kunufaika na hotuba zake nzuri...
Wadau nimeajiriwa na kusaini mkataba ila kazi ni ngumu sana nataka kukimbia.sijui mnanishaurije coz kuna wengine wamenishauri nisiache coz mtaani ni pagumu xana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.