Wananchi wa kata ya Daraja 2 Arusha Leo wamemjibu Lowassa kwa vitendo baada ya majigambo yake kwenye uchaguzi wa CCM kuwa sasa baada ya kuweka vinyago wake kwenye uongozi Arusha mjini na mkoa eti sasa CCM itashinda Arusha. Ameumbuka baada ya CHADEMA kuibuka kidedea kwenye uchaguzi wa udiwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.